Kina Dada wagumu Kulipia Chumba

Kina Dada wagumu Kulipia Chumba

Sababu mentality ya wabongo asilimia kubwa ni huko hotelini wanaenda kufanya matusi hivyo wanaona haya wahudumu kumwona live.

Ebu nipe hela mie uniambie nikalipie kilimanjaro kempinski au serena au hotel nzuri yenye akili uone kama nitaona haya, especially nije kwa shughuli zangu niko safarini au nataka kuspend time mbali na nyumbani akaaa! Nalipa bila haya!

hapo especially ndo pana shda, ndo huyu jamaa an a question haijalish unafanya NN?? kwa hyo ukiwa na appointment ya kugegedwa huwez???.?
 
Back
Top Bottom