Clueless14
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,111
- 4,773
Yes kina mmoja aliniambis wanaenda kikazi mwanza, akataka kuacha kazi kwa kuwa mabosi walimuambia hakuna nyumba utakaa hotelini wiki mbili. Nikashangss kama wanalips shida IPO wapi? Anasema bora nyumba niksmuuliza chumba si sehemu ya nyumba? Anasema bora hata hostel
Atakuwa guilty na mambo yake binafsi aliyozoea kufabya hotelini
Ukienda kwa nia nzuri huwezi kuogopa kiasi hiko.