Kina Dada wagumu Kulipia Chumba

Kina Dada wagumu Kulipia Chumba

Fanya booking hotelini mapema... ukifika unaingia tu...
 
Ataachaje kuona aibu kama jana yake alikuwa hapo mubashara na mwanaume mwingine
 
Aidha ni mils sijui au tsmaduni . Au ni kumpa mwansmume fursa ya kuwa mwenyeji.

Hata kama ni kulipia kwa shughuli isiyokuwa ya mapenzi bado ni wagumu ikibidi wataenda kutafuts ndugu wajibanze badala ya kumchukua room

Wanaume reception wana kasi ya ajabu
 
Watajitahidi kwenye misosi ,usafiri nauli watalipa sasa chumba cha hoteli ni ngumu Sana . Ikibidi sana atakupatia fedha uende reception bila yeye kujihusisha.
Yaani wewe umelipiwa msosi,usafiri bado unalilia kulipiwa chumba?! Olewa basi ili utunzwe!
 
Yaani wewe umelipiwa msosi,usafiri bado unalilia kulipiwa chumba?! Olewa basi ili utunzwe!
Si kwamba alipe vyote kila bill inayoitwa chumba hata km ni mdogo, hata ukampa ukamwambia lipia kabisa hata km ni mkeo ni ngumu sana. Kilichopo si gharama has a ni tendency ambayo najiuliza ni kwa waafrika tu su wanawake wote na hata kuingia lazima utangulie
 
Back
Top Bottom