Kina dada wa mjini shikamooni

Kina dada wa mjini shikamooni

Kijana Mzeeeh

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2015
Posts
295
Reaction score
324
Imenilazimu kuandika haya kutokana na mambo ya kweli kabisa niliyoyafanya katika maisha yangu.

Mwisho wa mwezi huu natimiza mwaka mmoja katika ajira, ila kinachonisikitisha hakuna cha maana nilichofanya. Nipo hapa natafakari ni kitu gani nimefanya katika kipindi cha mwaka mmoja, naona nimenunua samsung smart phone tu. Inanisikitisha sana!

Mshahara wangu si mkubwa wala si mdogo sana, ni 800k on average monthly (net). Lakini nikifikiria namna ulivyoteketea kwa hawa kina dada, inaniuma sana.Hadi leo bado naishi kwa Baba na Mama.

Nimekuwa nikinywa bia tangu nikiwa chuo na nilifanikiwa ku-save almost 2.8m katika boom langu for my 3yrs in college na siwezi kulaumu bia kwani utaratibu wangu wa kwenda Bar haujabadilika ni ule ule weekend hadi weekend na bia zangu ni zile zile bia 2/3/4 mara chache sana 5.

Kinachonifanya nione ni hawa kina dada; ni kwamba wakati niko chuo nilikuwa sina time nao hata kidogo, nilikuwa bize natengeneza GPA yangu.Ila tangu nimepata kazi, nimeanza kuhangaika na hawa kina dada, na ninaamin ndio sababu ya mimi kutokuwa na maendekeo yeyote yale ya maana.

Niko Bar hapa nikitafakari haya na kuna Mbebez fulani amazing na kimini chake cha punda milia amesha-anza kuuteka moyo; inauma sana pesa unayopata kwa kuhangaika mwezi mzima na almost 20% to 25% of it inateketea kwa usiku mmoja, na mshahara ndio umeingia leo hii.

Am 24 na mpango wa kuoa ni nitakapotimiza 28, Eeeeh Mungu nipe nguvu za kuushinda huu mwili, hawa viumbe wasiniuwe masikini.
 
Acha uboya, kama expenditure zimezidi ongeza income. Usitegee wadada washuke bei ndo uwale, ni sawa na kungojea mlima Kilimanjaro upungue urefu ndo uupande. Kinachotakiwa ni kuongeza akili uupande vipi huo mlima. Kwa hio kinachotakiwa ni kuongeza budget ya matanuziiii
 
Ni pm nitakusaidia kufainyia hilo kitu cha maana
 
Acha uboya, kama expenditure zimezidi ongeza income. Usitegee wadada washuke bei ndo uwale, ni sawa na kungojea mlima Kilimanjaro upungue urefu ndo uupande. Kinachotakiwa ni kuongeza akili uupande vipi huo mlima. Kwa hio kinachotakiwa ni kuongeza budget ya matanuziiii
Wallah umepotea sana,au yule Mmasai aliponasa umejiweka bzy kuhakikisha unatengeneza mpunga mrefu kabla hajakibwaga?
 
Acha uboya, kama expenditure zimezidi ongeza income. Usitegee wadada washuke bei ndo uwale, ni sawa na kungojea mlima Kilimanjaro upungue urefu ndo uupande. Kinachotakiwa ni kuongeza akili uupande vipi huo mlima. Kwa hio kinachotakiwa ni kuongeza budget ya matanuziiii
Lara upo? Umepotea sana arif
 
Acha uboya, kama expenditure zimezidi ongeza income. Usitegee wadada washuke bei ndo uwale, ni sawa na kungojea mlima Kilimanjaro upungue urefu ndo uupande. Kinachotakiwa ni kuongeza akili uupande vipi huo mlima. Kwa hio kinachotakiwa ni kuongeza budget ya matanuziiii
Kama ni kisu, basi umemchoma hadi kwenye mfupa
 
Somebody like this..mtu hivi hivi
 
Imenilazimu kuandika haya kutokana na mambo ya kweli kabisa niliyoyafanya katika maisha yangu.

Mwisho wa mwezi huu natimiza mwaka mmoja katika ajira, ila kinachonisikitisha hakuna cha maana nilichofanya. Nipo hapa natafakari ni kitu gani nimefanya katika kipindi cha mwaka mmoja, naona nimenunua samsung smart phone tu. Inanisikitisha sana!

Mshahara wangu si mkubwa wala si mdogo sana, ni 800k on average monthly (net). Lakini nikifikiria namna ulivyoteketea kwa hawa kina dada, inaniuma sana.

Hadi leo bado naishi kwa Baba na Mama. Nimekuwa nikinywa bia tangu nikiwa chuo na nilifanikiwa ku-save almost 2.8m katika boom langu for my 3yrs in college na siwezi kulaumu bia kwani utaratibu wangu wa kwenda Bar haujabadilika ni ule ule weekend hadi weekend na bia zangu ni zile zile bia 2/3/4 mara chache sana 5.
Kinachonifanya nione ni hawa kina dada; ni kwamba wakati niko chuo nilikuwa sina time nao hata kidogo, nilikuwa bize natengeneza GPA yangu.

Ila tangu nimepata kazi, nimeanza kuhangaika na hawa kina dada, na ninaamin ndio sababu ya mimi kutokuwa na maendekeo yeyote yale ya maana.

Niko Bar hapa nikitafakari haya na kuna Mbebez fulani amazing na kimini chake cha punda milia amesha-anza kuuteka moyo; inauma sana pesa unayopata kwa kuhangaika mwezi mzima na almost 20% to 25% of it inateketea kwa usiku mmoja, na mshahara ndio umeingia leo hii.!!!

Am 24 na mpango wa kuoa ni nitakapotimiza 28, Eeeeh Mungu nipe nguvu za kuushinda huu mwili, hawa viumbe wasiniuwe masikini.
Kwani lazima umpe pesa? Wewe vipi? Anaye kuja aje na zake. .
.dunia gani upo?
 
So kwa siku unakata 200,000/- out of your 0.8 salary, this means that in four days ka salary kamekata. Assuming this trend will continue, and no extra income, wewe utakaa kwa mama your entire life. Ushauri tafuta mke haraka uoe.
 
1472291944878.jpg
Shit
 
Back
Top Bottom