Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
Mchumba sikujua, uko desperate kuolewa? Hebu twende PM mara moja!Kazi ipo.Nao wanaume sometimes huwa wanachangia sana hali hii kwa wanawake.wanaume wengi huwa hawataki kuoa mpaka wa'test' kwanza(tena kutest mpaka mwanamke abebe mimba) ndipo wanakubali kuoa.Na wakitukuta wanawake tupo desperate na kuolewa ndio basi wanafanya watakavyo!