Kina Dada....nyoweni ama msinyowe nd'o swali?

Kina Dada....nyoweni ama msinyowe nd'o swali?

Ab-Titchaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2008
Posts
14,630
Reaction score
4,267
Tazameni miguu ya Monique hiyo. Je swali ni kunyoa au kutonyoa.

Wanaume mwasemaje hapa?


2010-01-20-95841807.jpg



2010-01-20-95841630.jpg
 
Kama miguuni hivi, huko "kwenye maungio" si itakuwa rasta?...
 
Hirsutism hiyo haivutii!Atafute underlying cause na ayanyoe hayo manywele!
 
Inategemea tu how comfortable she is with her looks. Mi binafsi sioni tatizo akiachilia nature ichukue mkondo wake.. 😀
 
....Haina hata haja ya kunyoa, dawa yake ni kuvaa vimini/short pants nywele zote zitapotea.
Ukiwa mzoefu wa kuvaa nguo ndefu lazima uwe na nywele kama hizi, tena sio kwa wanawake tu hata wanaume hutokea nywele kama hizi.
Hii hutokea hata kwenye mikono kama unapenda kuvaa nguo za long sleeve.
 
duuuh atakuwa kajisahau kwamba hakunyoa miguu hapo.

Mkuu Arsene Wenger,

Sio eti kajisahau, kasema mwenyewe she doesnt believe in
shaving her legs.

Mo'Nique was dressed to the nines at Sunday night's Golden Globes, wearing a long golden gown with a wrapped bodice to pick up her award for Best Supporting Actress in a Drama. She also dared to go all-natural under the flowing fabric, showing off her hirsute gams on the red carpet.

Nenda hapa:

http://www.huffingtonpost.com/2010/01/20/monique-goes-all-natural_n_429842.html
 
....Haina hata haja ya kunyoa, dawa yake ni kuvaa vimini/short pants nywele zote zitapotea.
Ukiwa mzoefu wa kuvaa nguo ndefu lazima uwe na nywele kama hizi, tena sio kwa wanawake tu hata wanaume hutokea nywele kama hizi.
Hii hutokea hata kwenye mikono kama unapenda kuvaa nguo za long sleeve.

Dadangu Pretty,

Sometimes hii ni genetics na huwezi kusema eti utavaa vimini na pants
kisha ipotee.

Swali langu ni kwa mfano tayari miguu ipo hivyo utanyoa kwanza ndo
uanze kuvaa shorts na vimini ama utavaa tu...potelea mbali hata wakiona?
 
Inategemea tu how comfortable she is with her looks. Mi binafsi sioni tatizo akiachilia nature ichukue mkondo wake.. 😀

Mwanamume weye naona humaindi kamwe. wewe ni mambo ya naturally tu.
Hata kama ni kikwapa???...😀
 
Dadangu Pretty,

Sometimes hii ni genetics na huwezi kusema eti utavaa vimini na pants
kisha ipotee.

Swali langu ni kwa mfano tayari miguu ipo hivyo utanyoa kwanza ndo
uanze kuvaa shorts na vimini ama utavaa tu...potelea mbali hata wakiona?

........Wala huna haja ya kunyoa unavaa tu, taratibu zitaanza kupotea japo hazitapotea zote ila itakuwa nafuu.
Nilikuwa mpenzi wa kuangalia show ya huyu mama, inaitwa monique show lakini sikuwahi kumuona na nywele kama hizi miguuni. Nikija kuangalia tena nitamchunguza hii miguu yake.
 
Mwanamume weye naona humaindi kamwe. wewe ni mambo ya naturally tu.
Hata kama ni kikwapa???...😀

Mwalimu kuna kitu wataalam wanaita daivesiti, ndio maana tumeumbwa tofauti ati na tastes zinapishana. Ila kimsingi (nasisitiza kimsingi) L,XL,XXL sio ma kap of kofi. 😀
 
Kuna baadhi ya wanaume wanapenda hali kama hiyo na hawataki kabisa yaondolewe...kipenda roho...
 
aaache tu jamani kwani nyie mkichezea hivyo vinyweleo mnajisikiaje?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
hii kweli kali jamni au anatafuta publicity maana miguu inatisha!
 
Yana RAHA yake hayo, huwezi jua mwenzi wake ana ya enjoy vipi? ni kama mwanaume utakkuta jamaa ana midevu mpaka unaona uchafu kumbe mke wake ndo kayazimikia kishenzi huyo hata kwa ACID hanyoi, so ni juu yake mwenyewe kuamua
 
Back
Top Bottom