Kina dada muwe makini na Foreigners

Kina dada muwe makini na Foreigners

Basi wameamua hao wacameroon, me nlikutana na mmoja Bank..Wacha aning'ang'anie....na vile mtoto nlikuwa nimetupia ushungi akaja na gia kali sana ya ndoa...
Bahati nzuri sijawahi kuwaza kuolewa na foreigner even mmakonde mwenzangu wa Msumbiji....tutabanana huku huku uzaramoni....

Cha ajabu katika Chating nikamuuliza unaishi wapi? Mara anambie Kinondoni, mara Magomeni, mara Kariakoo...mwishowe akafunguka eti anataka aje aishi kwangu....Mwee hapo me mwenyewe nlikuwa naishi hostel...!

Nikaona hapa ni shida tu, nikampotezea...halafu mtongozo wenyewe ulikuwa kwa kizungu ndo kabisaa nikaona ananichosha kunihangaisha na dictionary...

Wadada tuwe makini sana, jamaa wameamua...!

Wamedhamiria haswaa...wamechoka kuchunwa nao lol
 
Matapeli ni weng tu wabongo na wagen

Ivi inakuweje tugegedane afu hela zangu tna nikakope nikupe
Hii akili ya huyu Dada nadhan ndo mapenz nivuruge kumbe anajivuruga mwenyewe

You have not fall in love with handsome
 
hahaha watakoma mwaka huu, pole yake kuna rafiki yangu Alipata mnaigeria yule kaka alijifanya ni mfanya biashara na akawa anatuletea vitenge kutoka kwako tukajua kweli, ila baadae mi nilimstukia kuna sehemu nilimfuma anaongea kiswahili kizuri sana wakati akiwa na rafiki yangu anajifanya kiswahili hakipandi, mambo yakaenda mpaka akazaliwa mtoto akapewa jina la kikwao, mwanamke alikuwa anaamini kama vile anavyowaona wanaigeria kwenye sinema zao akaona na yeye mambo yake yatakuwa safi, ikafikia wakati wa kujitambulisha mwanaume akadai ndugu zake hawawezi kuja watakuja kwenye ndoa, wakwe wakaweka ngumu ikabidi akawatoe huko walipo, kumbe yule bwana alizaliwa Naigeria tu, ila ni mtanzania kakulia huku kasoma huku na kwao ni sinza mapambano na hana kazi wala nini vitenge sijui alikuwa anaiba wapi. wasichana wanabidi wawe makini sana hali ya maisha imekuwa ngumu

Hahahah halafu wadada hawawaogopagi hawa wawesti sijui.kwa nini
 
Whether umekopa benki,umechukua uliyohongwa na mwenzie,umechota akiba yako....suala si linabaki palepale UMEMPA?

Ha ha akili tumepewa tunapenda kupokea kutoa hatutaki loo

Na kama alimpa hakuna haja ya kudai...ukimpa mtu kitu hutegemei kulipwa

Kama alimkopea ndo imekula kwake
Tujifunze jamani kuwa na misimamo na value zetu
 
Mungu hausiki na ujinga wa binadamu, amekupa vyote akili na ufahamu ukishindwa kuvitumia ni juu yako mwenyewe.

Aisee Matola kuna kughafirika....af kuna mazingira akili haiwezi hata kusoma mchezo maana mwenyewe anakuwa kajiandaa haswaa. Tukitulia kwa Mungu tutapona tu
 
Last edited by a moderator:
Kuna dada tuko naye ofisini, sasa huku na huku akapata mchumba kutoka West Africa, huyu mchumba anadai amesoma Russia na sijui alikuwa anafanya kazi gani hapa Bongo, maana hata dada mwenyewe ukimuuliza haelewi elewi. Harafu jamaa alikuwa fasta kujitambulisha mpaka kwa bi mkubwa, akaonyesha ana nia ya kweli kabisa ya kuoa, akawa anaenda naye kwenye harusi za hapa ofisini na za kwa marafiki zao wengine.


Basi mapenzi yameendelea, jamaa akawa ndo anaendesha gari la yule dada, anampeleka ofisini na kumfata jioni. Jamaa taratibu akaanza kutumia hela ya yule dada huku akidai kuna mafao yake atalipwa soon so watakuwa poa kifedha.

Dada wa watu akachukua mkopo kama Mil 9 kwa ajili ya kuanza ujenzi lakini kumbe zikaingia kwenye mkumbo wa kuliwa. Ikafikia wakakubaliana eti jamaa aende Marekani, akifika kule akishaandaa mazingira atamchukua dada yetu wa kazini akaishi naye huko mambelez. Hela ya mkopo ikaisha, akakopa kwa washkaji hapa hela nyingine kama Mil 2 ya kuongezea ili kufanikisha safari.

Jamaa sasa ni muda kama wa miezi miwili toka aende USA na hajawahi hata kutoa contacts zake kwa dada yetu, huku jamaa wanamsakama kwa madeni yao (hasa hasa ile mil 2 ya nyongeza). Facebook jamaa hayuko active tena, inshort kapotea mazima. Dada wa watu saa hizi ni full stress, mshahara unakatwa hela ambayo hakuitumia, madeni yanamwandama, mpenzi kamkatia mawasiliano.

Kwa hiyo dada zetu mfanye uchunguzi wa kina kabla ya kugawa mioyo na mali wa wageni, wengine wamekuja kuchuma vilivyo vyetu kwa njia yoyote ile.

Somo zuri sana, bravoo
 
Ha ha akili tumepewa tunapenda kupokea kutoa hatutaki loo

Na kama alimpa hakuna haja ya kudai...ukimpa mtu kitu hutegemei kulipwa

Kama alimkopea ndo imekula kwake
Tujifunze jamani kuwa na misimamo na value zetu

Hapo ndo utatra.... Kama tulikubaliana anakopa nahakikisha analipa. Huduma zote zitasimamishwa mpaka alipe deni
 
Hii imenikumbusha kisa cha mdada mmoja (rip)

Alihonga pesa yake karibia yote ya mirathi

Mwanaume akafungua biashara na kuoa mwanamke mwingine

Very sad....






Na hii ndo inawaponza weng wasichana

Mtu anahonga akitaraj ndo mshikaji atampenda na kumuoa kumbe zile hela na gar ndo anatanulia na wengine
Chezea mapenz

Angewekeza kwenye biashara Leo angefaidi
Huu upuuzi wa kuhongana,kujenga pamoja,kwangu not applicable kwa maisha ya boy/ gal friend
At end lazima mmoja ataumia tu.moyo wa mtu fumbo
 
Cheza mbali na wapopo a.k.a Yahooyahoo.Wanigeria wametumwa hela usitake wawe hata marafiki tu achilia mbali awe mpenzi wako
 
Pole yake bidada kutapeliwa kuna kuja tu na hasa mdada kama age imeenda anataka ndoa ni shida mi nikaona mwanaume anataka hela hata senti simupi kwakweli
 
You have not fall in love with handsome

Ha ha ha uuupsi what's handsome
Siongozwi na hisia wala uzuri wake
Mungu kanijalia akili

Uzuri wake nitaula or? Ndo unifanye nimuhonge
Hapana...tunapenda maisha ya mteremko sana kupokea bila kutoa jasho
Huyu mdada alifikir kwa kuwa ni mnageria ana pesa kama za kwenye movie or
alikula vyake na kutolewa out cos alimwandalia mazingira kabisa siku ya siku kidume nae kala zake.
hukushtuka hat alipomwambia anaenda ulaya
Au ndo ndoto za alinacha anaenda kuandaa mazingira nami nimfuate nikimbie mkopo bila kulipa
 
Ulivyosema alitoka russia nimemhisi mmoja wao alitoka russia akapita hapa kwa lengo la kwenda U.K lakini alishindwa hiyo ilikuwa mwaka jana kama mwezi wa tatu.
Hivyo aliikaa hapa tz almost mwaka mzima...

Anaendesha gari gani? Maana jamaa alikuwa anaendesha gari la huyo demu, alikuwa anakaa KNyama. Ni mshkaji black ana kitambi tambi, yuko aged like 30-35.
 
we acha tuu, tena wasichana wanapenda sana wanaigeria wanawaza ile mipesa wanayoiona kwenye sinema ikichezewa chezewa

Uupsi umenichekesheje sinema zao full mipesa utafikir "billionaire club" na wale plus wakenya wana mavocal ya uongo usipokuwa makin mbona utajiona malkia
Tunapenda vya mteremko sie Duuuu
 
Hongera kwa hili kula maisha
Na tusitoe mianyaa ya kupokea pokea vyao..
Ukimkopea mpenz utakosa Uhuru wa kumdai bhana hat stareh ya kugegedana itapungua kisa hajakulipa hela


Mpenz wang wakwanza nakumbuka aliniazima buku 2 alikua kazn alsahau hela nyumban kwa madai yake...ebana ee nlivompa iyo buku 2 akazan msamaha wa rais umpepita kumbe mie nakumbuka vizur ck nakuja mdai acha ue ugomvi....aliirudisha buku2 yangu na tukaacha mpaka leo...
 
Mpenz wang wakwanza nakumbuka aliniazima buku 2 alikua kazn alsahau hela nyumban kwa madai yake...ebana ee nlivompa iyo buku 2 akazan msamaha wa rais umpepita kumbe mie nakumbuka vizur ck nakuja mdai acha ue ugomvi....aliirudisha buku2 yangu na tukaacha mpaka leo...

Shoga angu nimekupigia salutee....we noumerrr!
 
Back
Top Bottom