Chama ganiIla hiki chama kimetufikisha pabaya sana aiseee....🤨
Ego is the enemy baadae ukishtuka soon unakumbuka why nili msaidia kumlipia 😄😁😄😃Binafsi siwezi kufanya huo ujinga! Nimsaidie kulipa mahali ili ionekane kubwa au? hii ni pure self delusion! Au tuiteje, ego stroking?
Unajikuta Hip HopBinafsi siwezi kufanya huo ujinga! Nimsaidie kulipa mahali ili ionekane kubwa au? hii ni pure self delusion! Au tuiteje, ego stroking?
Yani mimi nina mipaka kwa kila jambo haijalishi nini, hivi unaanzaje kuchangia mahali?😱Ego is the enemy baadae ukishtuka soon unakumbuka why nili msaidia kumlipia 😄😁😄😃
Najikuta hip hop maana yake nini?Unajikuta Hip Hop
HIi inabidi sisi ndio tulipie haya mambo ya kuchangiana ni miyeyusho tu😄😁😃Yani mimi nina mipaka kwa kila jambo haijalishi nini, hivi unaanzaje kuchangia mahali?😱
Kwanza nilishajiambia kumpa mwanaume pesa ni kumdharau😁 najishushia upendo kwa lazima akhaa sitaki mie🤣🏃🏽♀️🏃🏽♀️
Hebu nipatie picha umemchoka mwanamke halafu na mahali alikulipia? Kwanza ni dharau kubwa sana..HIi inabidi sisi ndio tulipie haya mambo ya kuchangiana ni miyeyusho tu😄😁😃
Kabisa mkianza kubishana aanze kusema mbele za watu kakulipia mahali 😁HIi inabidi sisi ndio tulipie haya mambo ya kuchangiana ni miyeyusho tu😄😁😃
🤣🤣🤣Hebu nipatie picha umemchoka mwanamke halafu na mahali alikulipia? Kwanza ni dharau kubwa sana..
Hapo ndio tatizo sasa 😁😁Hebu nipatie picha umemchoka mwanamke halafu na mahali alikulipia? Kwanza ni dharau kubwa sana..
🤣🤣🤣🤣Kabisa mkianza kubishana aanze kusema mbele za watu kakulipia mahali 😁
Lakini si wote watakuwa na madharau🤣🤣🤣🤣