Kimombo na Sms

jrmlaurence

Member
Dec 2, 2010
80
57
Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa na kizungu chake cha kubabaisha, hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana yake lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi aonekane mjanja akajibu, "some text missing too dear"
 
Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa na kizungu chake cha kubabaisha, hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana yake lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi aonekane mjanja akajibu, "some text missing too dear"


sawa sawa na ile jamaa kaambiwa happy birthday akajibu the same to you
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom