Kimenukaa Urusi vs Marekani

Trump anaendelea kufeli kisiasa

alisema atafanya kazi na Russia,sasa wanatushiana

alimcheka Obama kwa hatua alizokuwa anachukua dhidi ya Syria,naye anafanya hayo hayo
Utashi wa taifa(National Interest) Kimataifa kwa Marekani huwa haubadiliki hovyo ingawa marais wanabadilika! hivyo kusema Trump kafeli kwa kufanya alichokuwa anafanya Obama si sahihi..wenzetu linapokuja suala la kitaifa kwa maslahi ya taifa huwa hawabadiliki!
 
Israel aliingia syria akafanya anayotaka akaondoka zake, putin sio mueled km tumchukuliavyo sisi

Ile mifumo ni kwa sisi tu tunabishana hapa ila kiukweli hakuna inachoweza fanya
Juzi juzi tu Israel kaingia na ndege zake pale
Putin akaanza piga kelele

Leo kapigwa na hiyo mifumo yake anaanza leta bit za kupeleka aircraft carrier Med Sea
 
Hivi we unaejiita profesa Zina kutosha kweli

Hivi unaelewa maana ya vita kuu ya Dunia?

Nikwambie tu Anaweza asife raia hata moja wa marikani, ila ukafa we uliepo Lind

Ila nakuhurumia sana km kweli we ni professional profesa

 
Red line ipi we Mmakonde, Israel juz kaingia syria kafanya anayotaka kaondoka urus kaishia kulia tu

Hamfahamu tu namna vile Warusi walivyo, ile red line waloichora ikivukwa tu basi mtapata kuwafahamu na hapo ndiyo utajua ubora wa hiyo mifumo nk .
Unakumbuka kule Crimea kilichotokea? Pale red line ilivukwa polite people wakaingia uwanjani.
 
Utakuwa ni kichaa kutangaza idad ya wanajesh wanaokufa vitani wakat vita vinapiganwa
Hivi huwezi hata kujiongeza mkuu

 
WE UNADHANI URUSI WALIKUWA HA3ANA UWEZO WA K6ZUIA? WALIPEWA TAARIFA NA MAREKANIWAKAWAELEZA ZILIPO NDEGE ZAO NA MAJESHI YAO KTK UWANJA HUO AMBAO NDEGE NA VIFAA VYA ASSAD VILIMIMINIWA MAKOMBORA. SASA UELEWE KIDOGO WAKUBWA WALIVYO.ISRAEL YENYEWE WAKISHAMBULUA URUSI INAPEWA HABARI NA MAREKANI NA KUEPUSHA VIFAAA NA WATU WAKE WALIOKO KULE SYRIA NA HILO ULIJUE. WANAEND3LEA KUSIDIA WAARABU WAJIANGAMIZE WENYEWE WASIJE WAKASINGIZIA WARUSI AU WAMAREKANI.AKILI MUKICHWAAA. UNAELEWA HAWA WAKIWA SUPER POWER WATAFANYA NINI DUNIA HII
 
Utakuwa ni kichaa kutangaza idad ya wanajesh wanaokufa vitani wakat vita vinapiganwa
Hivi huwezi hata kujiongeza mkuu
Exactly that is what I'm talking, kwamba sio taarifa zote zinawekwa hadharani kwa sababu mbalimbali. Kwa hivyo sio kwamba silijui hilo isipokuwa hujanielewa, nilikuwa najaribu kuelezea sio taaarifa zote unazosikia ni sahihi.
 
Hivi, mnafikiri dunia hii ikiwa na amani na utulivu, viwanda vya silaha vitafanya kazi gani?
Halafu, mkiwa na amani na utlivu, na mkastawi, viwanda vyao vya mahitaji ya wanadamu vitafanya kazi gani?
Nadhani hata sisi Watanzania, pale ambapo wanasiasa wetu wanapotupeleka, hmm! Sijui!
 
Sasa Unataka urus watangazwe Kwan wao hawawez kujitangaza? We unataka nchi kubwa km urus ipewe msaada wa media?

Ushawahi kuangalia RT Inayomolikiwa na Russia?

Tena wenyewe wanatangaza ujinga tu habari zao hazina hata mvuto


Exactly that is what I'm talking, kwamba sio taarifa zote zinawekwa hadharani kwa sababu mbalimbali. Kwa hivyo sio kwamba silijui hilo isipokuwa hujanielewa, nilikuwa najaribu kuelezea sio taaarifa zote unazosikia ni sahihi.
 
habari zao hazina hata mvuto
Hoja yako kama niliyo kunukuu ni very subjective... Kinachokuvutia wewe kinaweza kisinivutie mimi and vice versa is true. Kwa jinsi ulivyojenga hoja yako sasa nazidi kukubali ile faida ya kuwafundisha watu lugha yako ili waishi wakiongozwa/kulazimika kufuata mawazo yako na utamaduni wako. Sisi tungetawaliwa na Russia tungekuwa tunafuatilia sana mambo yao na kuyaona ndio bora. Kinachotuumiza na kutufanya tuishi katika ulimwengu usio na uhalisia kuwa wanataka tuamini kile wanachotaka tuamini sio kile tulichotakiwa tuamini bila kuwekewa nguvu ya msukumo toka kwao. Kwanini waingereza na wamarekani na wafaransa, wachina na warusi wanapigana sana kueneza lugha zao? Jibu: Tuishi watakavyo wao kwa utamaduni wao tuwe watumwa wa bidhaa zao(iwe vitu au taarifa).
 
Kwaiyo Russia na USA nani zaidi kwa vifaa vya kisasa mkuu?
 
Haaaaaaaaaa Hicho ni kitisho hakuna kitu
 
waandishi nao kwa kupika story si haba!! Mrusi kasema meli yake kwenda Mediterranean ni routine ya kawaida sio kama waandishi wanavoipika story πŸ˜€
 
Kwaiyo Russia na USA nani zaidi kwa vifaa vya kisasa mkuu?
Me naona US.
Japo sipend kuiunderestimate Russia coz nao wapo vzr.
Ila ukilinganisha Air power,Navy,Land...mwnyw jibu utapata.
 
Hivi we unaejiita profesa Zina kutosha kweli

Hivi unaelewa maana ya vita kuu ya Dunia?

Nikwambie tu Anaweza asife raia hata moja wa marikani, ila ukafa we uliepo Lind

Ila nakuhurumia sana km kweli we ni professional profesa

πŸ˜›πŸ˜›mkuu punguza jazba.yaani anaweza asife raia wa marikani akafa yeye wa lindi.dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…