Kimenuka: Pamoja na Katazo Batili la Polisi BAWACHA yatangaza kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani bila kuogopa chochote

Kimenuka: Pamoja na Katazo Batili la Polisi BAWACHA yatangaza kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani bila kuogopa chochote

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,286
Reaction score
271,519
Taarifa zaidi zinaeleza kwamba siku ya wanawake ya Dunia siyo shughuli ya Kisiasa Wala si sherehe ya COM ama si mali ya TANZANIA ama viongozi wake

Hii ni siku ya Dunia isiyochangamana na masuala ya itikadi za vyama.

Kwahiyo Katazo la Polisi wa com limedhibitiwa n.a. kupuuzwa, Chadema imetangaza kuendelea n.a. maandalizi bila wasi wasi n.a. wanawake wote wanaelekezwa kuhudhuria kwa wingi.

Ugomvi wa vyama vya sasa ni Ujinga-Nchimbi

Nakala:
Donald Trump

=====

Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) limetangaza kuwa litafanya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Machi 8, 2026 mkoani Mara katika Jimbo la Musoma kama ilivyopangwa awali.

Akizungumza na Jambo TV Machi 1, 2026, Mwenyekiti wa BAWACHA, Sharifa Suleiman, amesema maandalizi ya maadhimisho hayo yanaendelea na wana matarajio ya kufanya shughuli hiyo bila bugudha yoyote licha ya zuio lililotolewa na Jeshi la Polisi.

Kauli hiyo inakuja kufuatia taarifa ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara lililowataka viongozi wa BAWACHA kusitisha mpango huo, likieleza kuwa kuna amri ya mahakama inayokataza chama hicho kufanya shughuli za kisiasa hadi shauri lao la msingi litakapomalizika.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Pius Lutumo, alisema Jeshi la Polisi linaendelea kutekeleza amri hiyo ambayo haijatenguliwa na kuonya kuwa ukiukwaji wake unaweza kuchukuliwa kama dharau kwa mahakama.

Pia soma Polisi wapiga marufuku CHADEMA kuadhimisha siku ya wanawake

 
Aliyetoa tangazo la kuzuia sherehe ya wanawake wa CHADEMA, lazima ni mwendawazimu.
Huyu mtu ina maana hata wanachama wa CHADEMA wa Mara wakisema kuwa wakutame kusherehekea sikuu ya Pasaka tarehe 5 April,, atapiga marufuku!! Ama kweli, aheri mtu unyimwe vyote lakini usikose akili..
 
Aliyetoa tangazo la kuzuia sherehe ya wanawake wa CHADEMA, lazima ni mwendawazimu.
Huyu mtu ina maana hata wanachama wa CHADEMA wa Mara wakisema kuwa wakutame kusherehekea sikuu ya Pasaka tarehe 5 April,, atapiga marufuku!! Ama kweli, aheri mtu unyimwe vyote lakini usikose akili..
Akiwa Mahakamani Tundu Lissu aliwaasa Wazazi kuwa makini wanapofikiria kuwaingiza watoto waajiriwe Polisi
 
Mwenyekiti wa Bawacha amewatangazia wanawake wote wa chama hicho kufika Musoma ambako wataungana na wanawake wote duniani kuadhimisha siku ya wanawake.

 
Minyumbu katika ubora wao,nendeni mkapigwe tu.
Eti nakala kwa Trump wapuuzi sana nyie
 
Kwahiyo Katazo la Polisi wa com limedhibitiwa n.a. kupuuzwa, Chadema imetangaza kuendelea n.a. maandalizi bila wasi wasi n.a. wanawake wote wanaelekezwa kuhudhuria kwa wingi.

Ugomvi wa vyama vya sasa ni Ujinga-Nchimbi
Nakubaliana nawe katika mengine yooote, isipokuwa huo ulaghai wa huyo Nchimbi..

Huyo Nchimbi anatafuta sifa asizokuwa na uwezo nazo.

Atuonyeshe mfano wa uamini wake wa hicho anachokizungumzia. Aache longolongo zisizokuwa na maana.
 
Taarifa zaidi zinaeleza kwamba siku ya wanawake ya Dunia siyo shughuli ya Kisiasa Wala si sherehe ya COM ama si mali ya TANZANIA ama viongozi wake

Hii ni siku ya Dunia isiyochangamana na masuala ya itikadi za vyama.

Kwahiyo Katazo la Polisi wa com limedhibitiwa n.a. kupuuzwa, Chadema imetangaza kuendelea n.a. maandalizi bila wasi wasi n.a. wanawake wote wanaelekezwa kuhudhuria kwa wingi.

Ugomvi wa vyama vya sasa ni Ujinga-Nchimbi

Nakala:
Donald Trump

=====

Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) limetangaza kuwa litafanya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Machi 8, 2026 mkoani Mara katika Jimbo la Musoma kama ilivyopangwa awali.

Akizungumza na Jambo TV Machi 1, 2026, Mwenyekiti wa BAWACHA, Sharifa Suleiman, amesema maandalizi ya maadhimisho hayo yanaendelea na wana matarajio ya kufanya shughuli hiyo bila bugudha yoyote licha ya zuio lililotolewa na Jeshi la Polisi.

Kauli hiyo inakuja kufuatia taarifa ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara lililowataka viongozi wa BAWACHA kusitisha mpango huo, likieleza kuwa kuna amri ya mahakama inayokataza chama hicho kufanya shughuli za kisiasa hadi shauri lao la msingi litakapomalizika.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Pius Lutumo, alisema Jeshi la Polisi linaendelea kutekeleza amri hiyo ambayo haijatenguliwa na kuonya kuwa ukiukwaji wake unaweza kuchukuliwa kama dharau kwa mahakama.

Pia soma Polisi wapiga marufuku CHADEMA kuadhimisha siku ya wanawake

Hii itakuwa Bawacha ya zamani, hii ya mwenyekiti Mpya haifanyi michezo hiyo
 
Nakubaliana nawe katika mengine yooote, isipokuwa huo ulaghai wa huyo Nchimbi..

Huyo Nchimbi anatafuta sifa asizokuwa na uwezo nazo.

Atuonyeshe mfano wa uamini wake wa hicho anachokizungumzia. Aache longolongo zisizokuwa na maana.
Nimeandika kimkakati, Natambua kwamba alishiriki kikamilifu kumuua Mwangosi
 
Taarifa zaidi zinaeleza kwamba siku ya wanawake ya Dunia siyo shughuli ya Kisiasa Wala si sherehe ya COM ama si mali ya TANZANIA ama viongozi wake

Hii ni siku ya Dunia isiyochangamana na masuala ya itikadi za vyama.

Kwahiyo Katazo la Polisi wa com limedhibitiwa n.a. kupuuzwa, Chadema imetangaza kuendelea n.a. maandalizi bila wasi wasi n.a. wanawake wote wanaelekezwa kuhudhuria kwa wingi.

Ugomvi wa vyama vya sasa ni Ujinga-Nchimbi

Nakala:
Donald Trump

=====

Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) limetangaza kuwa litafanya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Machi 8, 2026 mkoani Mara katika Jimbo la Musoma kama ilivyopangwa awali.

Akizungumza na Jambo TV Machi 1, 2026, Mwenyekiti wa BAWACHA, Sharifa Suleiman, amesema maandalizi ya maadhimisho hayo yanaendelea na wana matarajio ya kufanya shughuli hiyo bila bugudha yoyote licha ya zuio lililotolewa na Jeshi la Polisi.

Kauli hiyo inakuja kufuatia taarifa ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara lililowataka viongozi wa BAWACHA kusitisha mpango huo, likieleza kuwa kuna amri ya mahakama inayokataza chama hicho kufanya shughuli za kisiasa hadi shauri lao la msingi litakapomalizika.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Pius Lutumo, alisema Jeshi la Polisi linaendelea kutekeleza amri hiyo ambayo haijatenguliwa na kuonya kuwa ukiukwaji wake unaweza kuchukuliwa kama dharau kwa mahakama.

Pia soma Polisi wapiga marufuku CHADEMA kuadhimisha siku ya wanawake

Halafu wanataka maridhiano! Kwa hali hii kweli!? CCM hawafai kuaminika hata chembe.
 
Taarifa zaidi zinaeleza kwamba siku ya wanawake ya Dunia siyo shughuli ya Kisiasa Wala si sherehe ya COM ama si mali ya TANZANIA ama viongozi wake

Hii ni siku ya Dunia isiyochangamana na masuala ya itikadi za vyama.

Kwahiyo Katazo la Polisi wa com limedhibitiwa n.a. kupuuzwa, Chadema imetangaza kuendelea n.a. maandalizi bila wasi wasi n.a. wanawake wote wanaelekezwa kuhudhuria kwa wingi.

Ugomvi wa vyama vya sasa ni Ujinga-Nchimbi

Nakala:
Donald Trump

=====

Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) limetangaza kuwa litafanya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Machi 8, 2026 mkoani Mara katika Jimbo la Musoma kama ilivyopangwa awali.

Akizungumza na Jambo TV Machi 1, 2026, Mwenyekiti wa BAWACHA, Sharifa Suleiman, amesema maandalizi ya maadhimisho hayo yanaendelea na wana matarajio ya kufanya shughuli hiyo bila bugudha yoyote licha ya zuio lililotolewa na Jeshi la Polisi.

Kauli hiyo inakuja kufuatia taarifa ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara lililowataka viongozi wa BAWACHA kusitisha mpango huo, likieleza kuwa kuna amri ya mahakama inayokataza chama hicho kufanya shughuli za kisiasa hadi shauri lao la msingi litakapomalizika.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Pius Lutumo, alisema Jeshi la Polisi linaendelea kutekeleza amri hiyo ambayo haijatenguliwa na kuonya kuwa ukiukwaji wake unaweza kuchukuliwa kama dharau kwa mahakama.

Pia soma Polisi wapiga marufuku CHADEMA kuadhimisha siku ya wanawake

Hawa wajinga kila kitu wanadhani ni siasa.. Wanahitajika kurudi darasani
 
Back
Top Bottom