teh teh teh naona maigizo tena yale ya zamani ya pwagu na pwaguzi yanaendelea chini ya Mzee Jangala. Mtahangaika weee lakini Lowasa ndio Rais wa awamu ya Tano.
Nipo Nyamongo tangu jana hadi hivi leo. Ninaandika nikiwa huku mahali na sijaona chochote kinachohusiana na Mbowe. Nilichokisikia ni lawama kwa Mkapa kwa kuuza mgodi pasipo kuwafikiria wananchi wa vijiji vinavyozunguka mgodi. Wanalalamikia kwamba hawana ajira, na wakenya ndiyo wamechukua ajira zote za kwenye mgodi. Watu wanyamongo wamemdharau Slaa na wanafikiria habari za kubadilisha uongozi. CCM acheni kufanya cheap politics. Jaribuni kuwa serious na seriuos business.
Raisi ni LOWASA .vumilieni kidogo ndio demokrasi.ccm mkapumzike jumba la makumbusho.sisi ni utawala wa sheria hivyo acheni hofu.Lowasa hoyeeeeeeeee!!!
Ccm at work waondoke tu tubaki tunaotaka mabadiliko
unaota uchana amka ,lowasa awe rais ili vitaru vya gesi wachukue wanaomchangia pesa imekura kwenu ,magufuli ndo rais wetu
Tumeshuhudia Startv wakionyesha vijana wanachoma bendera na kadi wale wa Mwanza watueleze km kundi hilo hakuna kutoka CDM maana sura tumeziona
Baada ya kusikiliza hotuba ya Dr. Slaa jana, na video zinazozunguka kwenye ujumbe wa simu, vijana wengi sana maeneo ya nyamongo wameanza maandamano ambazo zisipodhbitiwa zitaleta machafuko wakidai kwamba hawana imani tena na CDM pamoja na Mbowe kwa kutaupa wazalendo kama Dr. Slaa na Mnyika na matokeo yake kuliuza Chama kwa MAfisadi. Polisi walikuja na kuwafuata waandamanaji ambao hawakuonyesha dalili za vurugu na uvunjifu wa amani. Kwani huku polisi waspokuwa makini swala dogo linaweza kuleta mtafaruku mkubwa
Hao hawana shida, c wako kama wale wa dar waliovalishwa sare, wakisikia slaa anatumiwa wataiamini tu cdm, piiiiiipooooozzzz...!!
Baada ya kusikiliza hotuba ya Dr. Slaa jana, na video zinazozunguka kwenye ujumbe wa simu, vijana wengi sana maeneo ya nyamongo wameanza maandamano ambazo zisipodhbitiwa zitaleta machafuko wakidai kwamba hawana imani tena na CDM pamoja na Mbowe kwa kutaupa wazalendo kama Dr. Slaa na Mnyika na matokeo yake kuliuza Chama kwa MAfisadi. Polisi walikuja na kuwafuata waandamanaji ambao hawakuonyesha dalili za vurugu na uvunjifu wa amani. Kwani huku polisi waspokuwa makini swala dogo linaweza kuleta mtafaruku mkubwa