Ingependeza sana kama vitisho hivi ungemtishia aliyekuleta dar! Unawezaje kwa mfano kituo kipo ten meters kutoka kwenye makazi ya watu? Nao wakakae wapi? Na kwanini ilihali nchi yetu ni mfalme wa amani? Polisi wetu should have conflict management skills and knowledge na sio kufyatua mabomu na risasi tu!Welcome to the war mbinu zao za kwenda ofisi ya serikali nje ya muda wa kazi kulipua kwa kutumia red brigade zilishajulikana mapema kabla ya mkutano kufungwa ushauri wangu wenye watoto wakorofi wawatahadharishe kesho siku ya kupiga kura wasilete nyoko kama wanawapenda wawambie wapige kura warudi nyumbani