Mbona yupo peke yake !!!
We nawe sasa unatuchosha..........
kinuke.....kioze.........tar 25 Oct lazima kiliwe kama kilivyo..........
Waondoke wao waende CCM mwenza au CCM mama
Nani kajamba?
Hii ni mwanza kama sijakosea
Hayo ndiyo huitwa mahaba, hongera mkuu kwa post zako. Una roho kama ya paka.
ikulu sio pango la mafisadi...hahahahaaa walioratibu ufigisu huu wamekosea kujipanga bhahahaaaa....