Mimi nitafurahi zaidi ikiwa BASHE atafukuzwa. Maan ni zaidi ya msaliti. Huyu alimuaminisha Lowassa nipo nyuma Yako kumbe opportunist Kama walivyo wakina January,Nape Na Mwigulu.
Lakini kwa upande mwengine itakuwa ni kipimo kizuri kwa upinzani kupitia uchaguzi mdogo. Tutaona muelekeo wa uchaguzi wa 2020 utakuwaje?
Wananchi watakuwa wamemshitukia Magufuli kuwa ni zaidi ya msanii.
Au tume ya uchaguzi (tume ya usalama wa taifa) Ndio itatumika kuamua mshindi. Au wananchi wataheshimiwa maamuzi yao? Maana Huyu bwana mkuu yeye anavyosema anamuogopa Mungu Lkn siku zote huwa najiuliza Mungu yupi? Anayemuogopa yeye ? Maaana Mungu tunamkosea sana lakini huwa hatudhalilishi , Mungu huwa hapendi watu viburi, Mungu huwa hapendi watu waongo Na Huyu jamaa yetu anazo sifa zote hizo ni Muongo, kiburi Na pia ni mdhalilishaji. Mimi naamini itakuwa ni Huyo Mungu anayesimama Na Basshite.