miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
ila nimeipenda styl ya binti, alipiga mahesabu akaona dalili za kukopwa, akuuu akatafuta ustaarabu mwingine tena kwa kumuonyesha kuwa anaweza! teh teh teh
Kweli kabisa loh hat me ningetafuta ustaarabu aisee
khaah!! saa ya kukopwa nani anataka, bahiri utamjua tu swaga zake, watoaji hutoa tu hawabwabwaji ovyo!
Mmmm alijuaje kaa atakopwa mtu kaja na mkoko?
we Kassid mtunzi mkopaji anajulikana tu walaa haihitaji elimu ya memkwa kumtambua hata aje na ndege
Bajeti si umeiona aisee, kumkopaje sasa kwanza kishtobe mwenyewe mchaga.
we Kassid mtunzi mkopaji anajulikana tu walaa haihitaji elimu ya memkwa kumtambua hata aje na ndege
kutongozana mtongozae pm, kudhalilishana mje mdhalilishane kwenye thread........shame on you
Kwani ac yako nimekuomba au? ,wee njoo na daladala lakini wallet iwe imetuna una tunisha nanilii akati walet imepwaya khaaa, wacha niongee na waliotunisha vyote kwenye gari yako, utakula kwa macho mvulana mkubwa bahil wew
basi nae akaona ni ndogo ndiyo maana akafanya dharau mbele yako........
Babu yashanikuta hayo mwaka uliopita, nilitoroka job ijumaa nikala fatjet to mwanza kwenda kuchepuka nafika kule ananiambia ana kisusio nilichoka ila alikuwa mstaarabu nikaambulia mambo yetu yale ya Tunu basi ikawa fahmilillah
Kweli kabisa loh hat me ningetafuta ustaarabu aisee
Mamaa ya mbesa
Karibu mzee wa kutema sumu ya nyoka
Mambo? Mambo tena mtoto? Mambo mambo? Na mambo mengine vp?
pouwa kabisa ...