nyani jike
Senior Member
- Feb 23, 2016
- 176
- 223
Kwel wabongo ni noma ukitaka kuishi vizuri na mama mkwe sharti uwe chini.so busara kama ni kweli mama dai amemlisha keki mkwewe na mkono Wa kushuto,so busara mkwe wako kuja sehumu ulipo ugegeni kumtreat like a stranger,si busara kumsokomola mkweo,Mama zetu jifunzeni kiheshimu hisia zetu pia kumbukeni watoto wenu wanaponea kwetu pia chaaaaaaaa!kimeniuma kama mwanamke ndo maana nasema nitabaki kuwa mtazamaji always!siyo vizuri inabidi wamuombe msamaha siyo Picha nzuri kabisa wanatudhalilisha wabongo!ila pia ni fundisho pia kwa mabinti wengine maisha ya zari yasomwe kama gazeti na kama mfano.umeacha watoto wako wanne umekuja kuzama kwa kijana 20's haya ni matokeo tu unamzalia kijana nzao mbili jumlisha na za mume mwingine?kijana dia wewe ni mume wako au mpenzi wako?kwa hizo nzao mbili hata huo sio uzungu mwambie akakutolee mahari kwenu akuoe akajitambulishe kwenu siyo kukuzalisha kama EKUBETA I'm sorry kama nimechapia.