Pigo kwako, jisemee wewe usijumishe wengine. Kwa ambaye amepoteza ndugu yake katika mikono ya awamu ya tano, atakuona kama juha kusema ni pio.
Alisaidia nini kumkataza bwana yule kupoteza, kuua,kubambkia watu kesi etc etc, kwa aliyeathirika na hayo, atakuona kichaa! Jisemee wewe