Habari za hivi punde :
24 Apr 2019
TMA yatoa tahadhari ya kimbunga Kenneth kasi ya kilometa 80 kwa saa kinaweza kuikumba Tanzania katika eneo la Pwani ya Mashariki na uwezekano wa mafaa haya kutokea :
Source : EastAfricatelevision
24 Apr 2019
TMA yatoa tahadhari ya kimbunga Kenneth kasi ya kilometa 80 kwa saa kinaweza kuikumba Tanzania katika eneo la Pwani ya Mashariki na uwezekano wa mafaa haya kutokea :
- Mafuriko makubwa ya kina kirefu
- Upepo mkali kuezua mapaa ya nyumba
- Miundo mbinu ya usafiri kuharibiwa
- Mashamba na mazao kuharibiwa
- Miundo mbinu ya usambazaji umeme kukatika na kutishia maisha
- Vyombo vya usafiri wa baharini kuharibiwa
- Usafiri wa anga kusitishwa
Source : EastAfricatelevision