Kimbunga Kenneth Kuikumba Tanzania

Kimbunga Kenneth Kuikumba Tanzania

Kinyungu

Platinum Member
Joined
Apr 6, 2008
Posts
21,608
Reaction score
42,959
Mamlaka za hali ya hewa za Msumbiji zinatahadharisha kuwa kimbunga kipya cha kitropic kinajiunda katika bahari ya Hindi. Mamlaka zinasema endapo kimbunga hicho kitakuwa kitaitwa Kenneth na kitaikumba nchi hiyo ya Msumbiji pamoja na sehemu za Kusini Mashariki ya Tanzania.
Source BBC

IMG_20190423_193722.jpg
IMG_20190423_193739.jpg
 
Hao jamaa Mozambique wapambane na hali yao tuu..!

Wasitutabirie Majanga yanayo elekea kwao.
 
Back
Top Bottom