GE2025 Kimati: Najivua uanachama wa CHAUMMA, narudi CHADEMA

GE2025 Kimati: Najivua uanachama wa CHAUMMA, narudi CHADEMA

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Nasubiri yule Jasusi.wa Mbutu akirudi sijui atatuambia nini Takataka yule.
 
Chama kiwakatalie baadhi yao kujiunga nacho. Habari za kusema lengo lao ni kuwa tu na watu zitawacost.
 
Chama ni watu, muhimu wajiridhishe kama hawatakuwa na athari hadi wawakubalie tu
Akili za bata hizo yani upokee mtu mmoja kwa kupoteza watu mil 1 💩. unapo pokea watu wa jinsi hiyo siku zote unapoteza imani kwa wananchi na kupoteza kikubwa zaidi kuliko unacho pata ...pia akili siyo kuwa na watu wapumbavu ....lazima utizame vizuri watu ulionao kwenye ajenda siyo kukusanya tu takataka kisha ukadhani unajenga chama.
 
Msaliti hakaribishwi ndani! Msaliti hufukuzwa kwa fimbo , panga na maneno kwamba asizoee tabia za kikahaba
 
Akili za bata hizo yani upokee mtu mmoja kwa kupoteza watu mil 1 💩. unapo pokea watu wa jinsi hiyo siku zote unapoteza imani kwa wananchi na kupoteza kikubwa zaidi kuliko unacho pata ...pia akili siyo kuwa na watu wapumbavu ....lazima utizame vizuri watu ulionao kwenye ajenda siyo kukusanya tu takataka kisha ukadhani unajenga chama.
Ngoja tuone itakavyokuwa

Japo najua Lissu atakuwa na mawazo kama yako, Kuna wengine anaweza kutowapokea

Mashambulizi ya CHAUMMA kwenda kwake yatakuwa yamempa funzo
 
Back
Top Bottom