Kuna ajali mbaya sana imetokea hapa eneo la Suca Mbele kidogo ya stop over ikihusisha lori na Basi T 990 ADF liitwalo Safari njema linalofanya safari zake kati ya Dar na Dodoma linaungua. SASA hivi yanaungua na watu waliokuwemo ndani.
Mtu mmoja amefariki na wengine 20 kujeruhiwa.
View attachment 426700
walioko hapo stop over kimara tupeni uhakika maana nasikia basi LA safari njema limewaka moto baada ya kugongana na lorry. watu 4 tuu ndio wamepona.
mkuu slim5 vp huduma ya kwanza haikupatikana haraka Maana nasikia fire wamefika basi lishamalizika kuwaka.Nipo Stop Over. Kuna nyororo ya kutosha.
Tuwekee hiyo video mkuuHii ajali funga kazi, ni zaidi mateso, ni zaidi ya.kifo, ni zaidi ya ufikiriavyo.
Video inaendelea kutembea whatsap nimeiona it is terrible
Hii ajali funga kazi, ni zaidi mateso, ni zaidi ya.kifo, ni zaidi ya ufikiriavyo.
Video inaendelea kutembea whatsap nimeiona it is terrible