Kimamba imekufa. Kero ya usafiri Kimamba - Dumila na Kero ya TANESCO

Sijuagi kama kuna madini kule
Zipo sisi ndy watu kwanza kwanza ku deal na sapphire nuts za kilosa huko na maconi mayai
Huko kwa mara ya kwanza tuliwapelekaga wahindi toka jaipur....ambao nao walikuwa ndy wanunuzi wakubwa zamani kg1 tulikuwa tunauza 4000 sahv kg1 inafika mpaka 30000/
Watu huko walikuwa hawana idea kabisa na mambo hayo...ndomana kilosa nna historia ndefu na kama legacy tumewaachiaa hadi kuwafundisha ujanjaaa

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Duu, Hivi Lumbiji Bado ipo, Majengo ya Zamani Sana. Zile cjw zlkuwa Kota za nn?
Ila Ilonga Nguruwe wengi duuu
Nimekàa sana Ilonga pale Ustawi ndio tulikuwa watoto wa kishua tofauti na kota. Ilonga msalabani kina kambale wa kuchoma na mihongo na samaki wa nguruka
 
Ila kwa sasa angalau maana nakumbuka kipind hiko nasoma kilosa agricultural sec school ilikuwaa balaa hiyo barabara dumila tu rudew masaa manne +
Nimekumbuka mbali sana.

2010 kuna mtoto wa O'level pale kilosa Agr. aling'atwa na mamba kule mtoni.

Sijui kwa sasa ila wakati huo hakukua na usafiri wa uhakika wakwenda kilosa, tuliendesha baiskeli kuanzia shuleni mpaka kilosa mjini takribani 30KM (kwenda na kurudi= 60km).

Wakati huo Mzamir Yassin ni Wamoto sana kwenye soka. Timu pinzani alikuwa akicheza Juma Luzio[/B].
Inter class zilikua zamoto sana pale timu ya Mzamiru na Juma Zinapokutana.

Wote hawa wamekutana tena wakiwa Professional players mtaa wa msimbazi.
 
Nimekumbuka mbali sana.

2010 kuna mtoto wa O'level pale kilosa Agr. aling'atwa na mamba kule mtoni.

Sijui kwa sasa ila wakati huo hakukua na usafiri wa uhakika wakwenda kilosa, tuliendesha baiskeli kuanzia shuleni mpaka kilosa mjini takribani 30KM (kwenda na kurudi= 60km).

Wakati huo Mzamir Yassin ni Wamoto sana kwenye soka. Timu pinzani alikuwa akicheza Juma Luzio[/B].
Inter class zilikua zamoto sana pale timu ya Mzamiru na Juma Zinapokutana.

Wote hawa wamekutana tena wakiwa Professional players mtaa wa msimbazi.
2010 nipo kidato Cha nne, juzi Kati Kuna kazi nilienda kufanya pale shule imebadilika sana..
 
Nimekumbuka mbali sana.

2010 kuna mtoto wa O'level pale kilosa Agr. aling'atwa na mamba kule mtoni.

Sijui kwa sasa ila wakati huo hakukua na usafiri wa uhakika wakwenda kilosa, tuliendesha baiskeli kuanzia shuleni mpaka kilosa mjini takribani 30KM (kwenda na kurudi= 60km).

Wakati huo Mzamir Yassin ni Wamoto sana kwenye soka. Timu pinzani alikuwa akicheza Juma Luzio[/B].
Inter class zilikua zamoto sana pale timu ya Mzamiru na Juma Zinapokutana.

Wote hawa wamekutana tena wakiwa Professional players mtaa wa msimbazi.
😂😂😂😂Dogo yule alikuwa anaitwa Kachimaa umenikumbusha kipind cha utawala wa WD( wadudu wa dampo) kuna jamaa tall hivi alikuwa anaitwa mafuru Neke jamaa alikuwa anaenda kati kinoma lakin kila roll call ikipigwa yupo enzi hizo discpline master ni mhagama a.k.a kenge
 
2010 nipo kidato Cha nne, juzi Kati Kuna kazi nilienda kufanya pale shule imebadilika sana..
Wewe ndo mmoj wa wale WD mkuu??? Mafuru Neke yupo wapi asee??? Jamaa nilikuwa namkubali kinomaa yanii
 
Magomeni sehemu kongwe hiyo mambo ya umeme ilitakiwa kuwa historia basi tu
Hata hivyo kilosa tuliipaishia sana kipindi cha nyuma kuna mambo fulani yalikuwa yanapatikana huko ilifanya kilosa kujulikana..

Alafu ukipita kizungunguzii kama unaelekea milima ya lumbiji juu huko kitambo sana mzungu alitega maji huko ndiyo yanashuka chini mpk kizunguzi shule maji sijawahi ona yakikauka

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kaka, hiyo wilaya imebarikiwa sana.
 
Nilisoma std 7 na dada mmoja toka KIMAMBA aliitwa Fransiscar John, babake alikuwa Meneja RTC pale GAIRO ...Duu alikuwa Kisu balaa sema mie nilikuwaga Dogo enzi hizoo...

Hakika umenikumbusha miaka kibao ilopita !!
 
Ndugu mpendwa mteja wetu

Tunashukuru kwa taarifa yako, Tafadhali onyesha taarifa kamili ili kuturahisishia kufatilia na kufanyia kazi taarifa zako kama ifuatavyo:

Jina...

Eneo...

Wilaya...

Simu...

Tatizo...

Umetoa taarifa lini (Tar..Mwezi.. Mwaka)...

Kama una namba ya taarifa...

Simu zetu za Huduma kwa Wateja:

0768 985 100/022 219 4400

TANESCO Huduma kwa Wateja

Makao Makuu
Quick response......good
 
Ndio inawekwa mkuu Mungu akipenda mpaka June itakuwa tayari

Safi ila Serikali wanayosema inapiga kazi wapo slow sana yaani tangia mwaka 1972 Nyerere alivyojenga MATI ilonga mpaka sasa hakuna Lami??? Inasikitisha Sana ,Sasa Midege ya nini wakati barabara kuu zinazuinua uchumi hakuna lami??
 
Back
Top Bottom