Duh...hiivi ile sehemu wanayofanyia utafiti mbegu za kilimo ipo badoIlonga Msalabani, ustawi.....
Bado ipo mkuu,Duh...hiivi ile sehemu wanayofanyia utafiti mbegu za kilimo ipo bado
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Pande zang hzo sema neema hko ikikaa vzr ntarudiBado ipo mkuu,
Ah hapo msalabani nlikuwa napenda sana kja siku za mnada alafu watu hapo kdg wastarabumrangi Msalabani ndo maeneo yetu, nilikuwa natoroka Chuo kuja kucheki mpira. Kila Ijumaa nikitoka msikitini Lazima tupite kwa mama mmoja hv Sisi tulimuita Shangazi, tunanunua mihogo ya kukaanga, Mihogo ya buku akikuwekea na Kachumbari au chachandu, aiseee Kipande Cha nyama Chuoni nagawa
Ahh dahmrangi Msalabani ndo maeneo yetu, nilikuwa natoroka Chuo kuja kucheki mpira. Kila Ijumaa nikitoka msikitini Lazima tupite kwa mama mmoja hv Sisi tulimuita Shangazi, tunanunua mihogo ya kukaanga, Mihogo ya buku akikuwekea na Kachumbari au chachandu, aiseee Kipande Cha nyama Chuoni nagawa
Duu, Hivi Lumbiji Bado ipo, Majengo ya Zamani Sana. Zile cjw zlkuwa Kota za nn?Ah hapo msalabani nlikuwa napenda sana kja siku za mnada alafu watu hapo kdg wastarabu
Rudewa pale vurugu + pombe + utapeli
Nlikuwa nkishuka toka lumbiji au unone lazima nije hapo kufurahisha macho
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kupo mm hko nlikuwa nakaa tu milimani wamangati kibao ukitoka lumbiji unashuka unapita kwa kilimo unatokea kizunguzi shuleDuu, Hivi Lumbiji Bado ipo, Majengo ya Zamani Sana. Zile cjw zlkuwa Kota za nn?
Ila Ilonga Nguruwe wengi duuu
Ukipita lumbiji juu hko kbsa kna kanisa la zamani la mjerumani sema limechoka sana sjui hko hata kama mkuu wa wilaya kafikaDuu, Hivi Lumbiji Bado ipo, Majengo ya Zamani Sana. Zile cjw zlkuwa Kota za nn?
Ila Ilonga Nguruwe wengi duuu
We mrangi lumbiji ulifata nini kule 🙌🙌🙌🙌 yaani kulivyo mbali..... au uliwekeza kwenye maharage na Tangawizi?Kupo mm hko nlikuwa nakaa tu milimani wamangati kibao ukitoka lumbiji unashuka unapita kwa kilimo unatokea kizunguzi shule
Rudewa unaonganisha gongoni,gongoni pale unapanda mlima kwenda unone..shotkut zipo sema kuna machatu sana
Haya maisha bana acha tu
mama D
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Nilikuwa nachimba madini kuleWe mrangi lumbiji ulifata nini kule yaani kulivyo mbali..... au uliwekeza kwenye maharage na Tangawizi?
KizunguziUnamjua Kijame headmaster wa Kilosa?
Dah mzee tujuane Kizu boys sioIla kwa sasa angalau maana nakumbuka kipind hiko nasoma kilosa agricultural sec school ilikuwaa balaa hiyo barabara dumila tu rudew masaa manne +
Ulisoma kizunguzi duh hiyo shule nlikuwa napita tu nkipanda juu kuelekea lumbiji...ila lazima tupige stop hapo kwa kilimoDah mzee tujuane Kizu boys sio
Yeah boss kula sana msuli paleUlisoma kizunguzi duh hiyo shule nlikuwa napita tu nkipanda juu kuelekea lumbiji...ila lazima tupige stop hapo kwa kilimo
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kilosa na pande hizo nna historia napo sanaWe mrangi lumbiji ulifata nini kule yaani kulivyo mbali..... au uliwekeza kwenye maharage na Tangawizi?
Sijuagi kama kuna madini kule😅😅
Kilosa na pande hizo nna historia napo sana
hata legacy tumewachia huko
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app