Kima cha chini cha mshahara kwa CPA(T) without experience

Joined
Dec 20, 2013
Posts
79
Reaction score
11
Naombeni mnijuze kama mtu ni CPA(T) without experience ukiajiriwa kwenye hizi big4 auditing firms kima cha chini cha mshahara ni Tsh ngapi????
 
Kuna jamaa yangu alikua KPMG kama sijakosea,aliacha mwenyewe,now yupo Kilimanjaro Aviation Mwanza anaramba 4m per month
 
Sasa hivi msoto msoto kuna watu kibao wenye CPA ila bado wanatafuta ishu....na hii inakuwa nice opportunity ya hawa mabepari kukaza..
 
hebu acheni utoto jamani siku hizi demand ya CPA imeshuka sana tofauti na zamani,nawajua CPA Holder kibao bado wapo kitaani wanabangaiza tu,miaka ya nyuma ilikuwa ni nadra sana kukuta halmashauri kuna hawa watu ila siku hizi wapo tele wamejaaa.
pia mshaara unategemeana na kampuni inatengenezaje faida hasa huku kwenye private sector ila serikalini unaweza ukapigwa TGS D,PGS 12-14 nk hii ni kwa wanaoanza kazi bila uzoefu
 
...swali kidogo, CPA(T) holder anakadiriwa kuproduce kiasi gani kwa firm katika huo mwezi?

Yaani kazi zingine bwana....hivi CPA ni zaidi ya Marketing?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…