Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,004
- 142,432
- Thread starter
- #41
Wenye kuelewa 'wamekulewa' Nyani Ngabu .
Achana na mimi wewe.
Kama una shida zako wapelekee wasamaria wema mimi sitakusadia.
Wenye kuelewa 'wamekulewa' Nyani Ngabu .
Kwa hiyo hata ktk vikao vya UN,Marekani huwa haudhuriagi huyo Mr. Kifutu.?!
Hahahahahaaa hajawahi kuhudhuria huyo.
Kwa jinsi alivyo paranoid na kwa jinsi wamtukanavyo Obama unadhani atakanyaga ardhi ya Marekani? Thubutu.
Atakuwa anatuma underlings wake tu.
Nyani Ngabu , Una American phobia / proud, propaganda za marekani zimekufanya umejisahau , yote unayosema kuhusu North Korea siyo kweli, Si ajabu huwezi kuamini kwamba North Korea wanaizidi USA kwa literate.
Sasa mdege wote huo wa nini na wakati yeye sio msafiri sana. Bora wangempa msaada "Profesa wetu" ingemsaidia sana.
Nachoipendea hii nchi ni kwenye kutunza siri tu.
Kama unajua kwa nini nimetumia hayo maneno niambie ni kwa nini nimeyatumia.
Kama unajua nambie ni kwa nini nimeyatumia hayo maneno.
Hujui.
Ah wapi. Maruerue yako tu. Labda we ndo unajistukia.
Tenda tena?
Ya nini hiyo pole?
Ha ha ha.. Umenikosha sana majibu yako Nyani Ngabu.. Maana kuna watu frustrations za majumbani kwao wanahamishia humu JF..
Hii 'jamii' ya wanamkorogo ni rahisi sana kutambulika...kwa kauli zao!Maana kuna watu frustrations za majumbani kwao wanahamishia humu JF..
Hii 'jamii' ya wanamkorogo ni rahisi sana kutambulika...kwa kauli zao!
Hii 'jamii' ya wanamkorogo ni rahisi sana kutambulika...kwa kauli zao!
Wako brainwashed mno.
Hao akina Kim wanaiendesha hiyo nchi kama mali yao.
Eti sasa hivi huyo mshikaji kapiga marufuku watu wengine kuwa na jina kama lake.
Imagine Nyerere angepiga marufuku watu kuitwa 'Julius'.
Vipi, mbona umekasirika hivyo?
Maisha magumu nini?
Kama babako na mamako ni maskini usinikasirikie mimi. Sikukuleta hapa duniani na wala sihusiki na dhiki zako.
umagharibi umekubrainwash sana akili yakoKuna sehemu nilisoma wanadai eti baadae mwaka huu ataenda Urusi.
Zaidi ya hilo sidhani kama tokea ashike madaraka katoka nje ya hiyo nchi.
Yaani hao Wakorea Kaskazini wanaishi kama ng'ombe.
Hii siyo Pyongyang.![]()
Kumbe North Korea nao hawajambo??
Wap??? Qatar auHii siyo Pyongyang.