Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,082
- 10,455
Rogue state
Lol!,......Kweli lakini why do they have heavy clothes in the plane?!
hahahaha ndugu yangu umenifanya nicheke basi...
SAFARI ZA KIFUTU NI UCHINA NA URUSI BASI HATOKI NJE YA HAPO HUYO.
madikteta walivyo wasanii unaweza kuta picha zimepigwa wakati hilo dude limepaki tu! Nchi nzima unaweza kuta haina hata pilot qualified kulirusha...ndio maana wamevaa mikoti mikubwa mikubwa humo.
Nah hizo tofauti.
Nyani Ngabu , Una American phobia
/ proud, propaganda za marekani zimekufanya umejisahau,
yote unayosema kuhusu North Korea siyo kweli,
Si ajabu huwezi kuamini kwamba North Korea wanaizidi USA kwa literate.
Hivi huyu jamaa huwa anasafiri kwenda wapi labda?
madikteta walivyo wasanii unaweza kuta picha zimepigwa wakati hilo dude limepaki tu! Nchi nzima unaweza kuta haina hata pilot qualified kulirusha...ndio maana wamevaa mikoti mikubwa mikubwa humo.
Kwanini hatoki sasa?Kuna sehemu nilisoma wanadai eti baadae mwaka huu ataenda Urusi.
Zaidi ya hilo sidhani kama tokea ashike madaraka katoka nje ya hiyo nchi.
Yaani hao Wakorea Kaskazini wanaishi kama ng'ombe.
RED: Najua kwa nini umetumia maneno hayo...badala ya kuandika jina lake kwa heshima yaani kwa usahihi Kim Jong Il !Naona mwana wa Kim Jong 'Mentally' Il naye ana li Air Force One lake lenye 'kila aina ya bells and whistles' hata kuweza kuchuana na lile la Obama.
Hapa anakagua gwaride akiwa na totoz......
....
Yaani hao Wakorea Kaskazini wanaishi kama ng'ombe.
Kwanini hatoki sasa?
RED: Najua kwa nini umetumia maneno hayo...badala ya kuandika jina lake kwa heshima yaani kwa usahihi Kim Jong Il !
BLUE: Najua kwa nini umetumia maneno hayo pia ...badala ya ama First Lady ama mke wa Rais wa North Korea...!
Najua...!
Umestuka mno.
Pia ni harakati zako za kutetea tenda yako kupitia KADI ya KIJANI.
Pole.
'Mtumwa mweusi' ana matatizo sana akipata kazi kwa mabwenyenye walaghai; atadharau tu wenzake hata kama atakuwa anashindia na kulalia makombo yaliyoanchwa na mbwa wa bwenyenye.
hahahaha ndugu yangu umenifanya nicheke basi...
SAFARI ZA KIFUTU NI UCHINA NA URUSI BASI HATOKI NJE YA HAPO HUYO.