Sawa mkuu ila yule kiranja wa dunia atakubali maana figisu figisu zake balaaI like Kim Jong-Un and North Korea.
By the way, the union government its very closer.
Live longer Kim Jong-Un and North Korea.
Uta...rwaNitamuoa, udikteta aache uko kwao, Tanzania ni wa demokrasia
Ina maana Kim anampangia Ratiba ya kugegedwa?
Anaingia na bwanaakeHata kwa choo sijui anakwendaje?
Kuna watu sijui hua wanawaza nini tu mkuu? eti kwenye ulinzi mtu anaongelea kupigwa picha sasa sijui picha inamadhara gani
kabisaakwa sasa ndio anaongoza ku-trend kwenye mtandao yote mikubwa ya kijamii duniani.kila sehemu anajadiliwa.
ila ni ka-cute. wallah kim ana dada mrembo sana.kanaonekana kapo so innocent.
huyu demu wakimtumia vizuri katika issues za kidiplomasia ya kimataifa anaweza akafuta image mbaya ya north korea duniani iliyotengenezwa na propanganda za wamerekani.
dada akitoa mguu jamaa lazma aendeMarekani na washirika wake watakuwa wamekwazika mno kuona huu mpango.
Wakielewana tu, keshokutwa Mzee Trump atafanya ziara huko South Korea
Poa nashukuru kwa elimu mkuuDavet
Kijana picha ni kitu kingine kabisa kwenye ulinzi wa VIP.
Kama unataka kujua hilo muulize Mzee Rais Mstaafu, Mugabe na Walinzi wake siku wakiwa kwenye viunga vya London, UK.
Kwa hiyo, ukiona wamepigwa picha kama hizo tambua tayari kuwa North Korea na Serikali ya Kim Jong-Un wako mbele kwenye hiyo technology haina madhara tena kwao.
Naomba niishie hapo.
You are talented ......Wako smart kabisa hao walinzi,,huku Africa walinz Mara wavae sare za chama Mara kachumbari
Pa1 kaka ila ukipata muda mzuri wa kutyp naomba unielezee huo mkasa wa walinzi wa Mugabe (PM)
Mkuu we acha kuna watu wanacomment tu ila hawajasoma historia ya huyu..... Ni noma sana uyu mtuWe unaongea nini huyo dada ndio think tank ya kaka yake kila siku anajificha nyuma ya nguzo kumuelekeza kaka yake cha kufanya
Yaani waafrika hatuawahi nenda hatua 5 bila kufriki hii sekta ya kuto....mb. ... a
Wabongo mnawaza ngono tu! Poleni sana......!Nitamuoa, udikteta aache uko kwao, Tanzania ni wa demokrasia
Ina maana Kim anampangia Ratiba ya kugegedwa?
Nitamuoa, udikteta aache uko kwao, Tanzania ni wa demokrasia
Ina maana Kim anampangia Ratiba ya kugegedwa?