junky
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 413
- 976
North Korea hivi karibuni walikuwa wanafanya majaribio ya ICBM "Intercontinental Ballistic Missile" na baada ya majaribio ya muda mrefu hatimaye North walifanikiwa kujaribu major test na wakafanikiwa 100%
November 30 2017 North Korea walifanya jaribio la ICBM aina ya Hwasong -15 missile yenye kichwa kikubwa chenye uwezo wa kubeba vichwa vya nucleur majira ya tisa alfajiri ambalo lilipaa urefu mkubwa iliyoweka rekodi kati ya makombora yote yaliyowahi kurushwa na North...Baada ya jaribio hilo Kim akasema hatimaye tunafuraha kutimiza ndoto yetu ya kuwa Complete Nucleur state,....kombora hilo la Hwasong-15 kufanikiwa kwa 100% ilikuwa mission complete kwa North sababu kombora hilo linaweza kupiga kokote duniani ,kutoka bara moja kwenda bara lingine
James Mattis secretary wa ulinzi wa USA baadae akahitimisha kwa kusema kombora lililorushwa asubuhi ya Leo lina uwezo wa kupiga sehemu yeyote duniani "every where in the world".
Hwasong-15 ilipaa 4,475KM sawa na mile 2,800 na ilikaa angani kwa dakika 53 kabla ya kuanguka kwenye pwani ya Japan ..takwimu hii ilitolewa na maofisa wa South Korea na Japan.
David Wright ,Mwanasayansi kutoka muunganiko wa wanasayansi wanaotambulika USA akatoa neno na tathmini ya mahesabu ya kombora lile na kusema kombora lile lina uwezo wa kuipiga Washington na eneo lolote la USA lkn akatoa tahadhari kama kombora lile likawekwa kichwa kizito cha nuclear huenda umbali usiwe sawa.
Adam mount senior scientist at the federation of American scientists akasema
"Muda uliopaa inaonyesha hii ni jaribio kubwa la ICBM na kwa hili itawarudisha nyuma maofisa wa US watumia njia mbadala na sio military option au vitisho vingine.
3 September 2017 mwezi mmoja nyuma North walijaribisha Hydrogen Bomb na maofisa wa South Korea walisema Karin in hilo lilisababisha mtetemeko wa ardhi wenye nguvu mara 9.8 kuliko jaribio walilofanya 2016 hivyo North walikuwa well developed kwenye hydrogen Bomb na kila mtu anajua how powerful Hydrogen ilivyo 10× kuliko Atomic Bomb
Baada ya kujaribisha Hydrogen Bomb kwa mafanikio ,mission ilikuwa moja kukamilisha ICBM na mwezi mmoja baadae wakajaribisha Hwasong-15 yenye uwezo wa kwenda bara moja kwenda bara lingine na kupiga ma Hwasong-15 ina uwezo wa kubeba kichwa cha nuclear na kupaa kutoka Pyongyang na kwenda Dodoma na kupiga kwa ufasaha...maofisa wa Japan,South Korea ,wana sayansi marekani walithibitisha
Kim Jong Un alisema ana furaha ndoto yao imekamilika ya kuwa compete nuclear state baada ya Hwasong-15 kufanikiwa " ICBM"
Trump kwa muda mrefu ameomba meza ya mazungumzo na Kim na hatimaye Kim amekubali na moja ya ombi la Trump ni North wasifanye majaribio ya makombora na inaonyesha North watakubali.
Kwasisi wataalamu wa mambo tunasema
Kim=10
Trump=1
Tayari Hwasong-15 ipo well equiped na 100% accuracy na kila mtu anajua uwezo wa Hwasong-15. ndio maana Kim amekubali meza ya mazungumzo baada ya furaha aliyotamka "now we are complete nucleur state" Baada ya Hwasong-15 kufanikiwa 100%
Sasa USA legeza vikwazo kwa Kim majaribio ya nini wakati kwenye ghala ana ICBM na nucleur
November 30 2017 North Korea walifanya jaribio la ICBM aina ya Hwasong -15 missile yenye kichwa kikubwa chenye uwezo wa kubeba vichwa vya nucleur majira ya tisa alfajiri ambalo lilipaa urefu mkubwa iliyoweka rekodi kati ya makombora yote yaliyowahi kurushwa na North...Baada ya jaribio hilo Kim akasema hatimaye tunafuraha kutimiza ndoto yetu ya kuwa Complete Nucleur state,....kombora hilo la Hwasong-15 kufanikiwa kwa 100% ilikuwa mission complete kwa North sababu kombora hilo linaweza kupiga kokote duniani ,kutoka bara moja kwenda bara lingine
James Mattis secretary wa ulinzi wa USA baadae akahitimisha kwa kusema kombora lililorushwa asubuhi ya Leo lina uwezo wa kupiga sehemu yeyote duniani "every where in the world".
Hwasong-15 ilipaa 4,475KM sawa na mile 2,800 na ilikaa angani kwa dakika 53 kabla ya kuanguka kwenye pwani ya Japan ..takwimu hii ilitolewa na maofisa wa South Korea na Japan.
David Wright ,Mwanasayansi kutoka muunganiko wa wanasayansi wanaotambulika USA akatoa neno na tathmini ya mahesabu ya kombora lile na kusema kombora lile lina uwezo wa kuipiga Washington na eneo lolote la USA lkn akatoa tahadhari kama kombora lile likawekwa kichwa kizito cha nuclear huenda umbali usiwe sawa.
Adam mount senior scientist at the federation of American scientists akasema
"Muda uliopaa inaonyesha hii ni jaribio kubwa la ICBM na kwa hili itawarudisha nyuma maofisa wa US watumia njia mbadala na sio military option au vitisho vingine.
3 September 2017 mwezi mmoja nyuma North walijaribisha Hydrogen Bomb na maofisa wa South Korea walisema Karin in hilo lilisababisha mtetemeko wa ardhi wenye nguvu mara 9.8 kuliko jaribio walilofanya 2016 hivyo North walikuwa well developed kwenye hydrogen Bomb na kila mtu anajua how powerful Hydrogen ilivyo 10× kuliko Atomic Bomb
Baada ya kujaribisha Hydrogen Bomb kwa mafanikio ,mission ilikuwa moja kukamilisha ICBM na mwezi mmoja baadae wakajaribisha Hwasong-15 yenye uwezo wa kwenda bara moja kwenda bara lingine na kupiga ma Hwasong-15 ina uwezo wa kubeba kichwa cha nuclear na kupaa kutoka Pyongyang na kwenda Dodoma na kupiga kwa ufasaha...maofisa wa Japan,South Korea ,wana sayansi marekani walithibitisha
Kim Jong Un alisema ana furaha ndoto yao imekamilika ya kuwa compete nuclear state baada ya Hwasong-15 kufanikiwa " ICBM"
Trump kwa muda mrefu ameomba meza ya mazungumzo na Kim na hatimaye Kim amekubali na moja ya ombi la Trump ni North wasifanye majaribio ya makombora na inaonyesha North watakubali.
Kwasisi wataalamu wa mambo tunasema
Kim=10
Trump=1
Tayari Hwasong-15 ipo well equiped na 100% accuracy na kila mtu anajua uwezo wa Hwasong-15. ndio maana Kim amekubali meza ya mazungumzo baada ya furaha aliyotamka "now we are complete nucleur state" Baada ya Hwasong-15 kufanikiwa 100%
Sasa USA legeza vikwazo kwa Kim majaribio ya nini wakati kwenye ghala ana ICBM na nucleur