Kim Jong-Un: Tupo tayari kupigana vita na Marekani

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Dec 27, 2019
2,921
15,613
Kim Jong-Un amemwambia Biden kuwa North Korea ipo tayari kuingia mzigoni (vitani) na Marekani na kibaraka wake South Korea. Amesema kuwa makombora yake ya nyuklia yapo tayari kuiangamiza Marekani. Akijibu kitisho cha South Korea kuwa South Korea itafanya 'pre-emptive strike', Kim kaiambia South Korea kuwa ikijaribu kufanya upumbavu huo, itageuzwa majivu ndani ya sekunde kadhaa.

Mwambieni Marekani aache mikwara, aende vitani kama anajiamini. Tumemsubiri huko Ukraine, kachomoa...tunamsubiria sasa huko North Korea. Aache kupoteza resources na pesa kupiga piga push-up's huko South Korea na kujitia kurusha rusha midoli yake (F-22, F-35) nje ya ulingo wa vita (nchi za shoga zake ambazo hazina vita). Akarushe midoli hiyo huko Ukraine au North Korea, mbona alipeleka F-35 kwenye vita ya Iraq kupigana na taifa dhaifu kiteknolojia? Apeleke Ukraine kwa Mrusi, au North Korea kwa Kiduku aone aibu atakayoipata.
=====

SmartSelect_20220728-091209_Chrome.jpg

Screenshot_20220728-091450_Chrome.jpg
 
Sikirimimimasikini, Marekani haiwezi kuingia mzigoni na nchi yoyote huku duniani ambayo inamiliki zana za nyuklia. Hata iwe ndogo kwa kiasi gani. Madhara ya nyuklia ni makubwa ndugu yangu. Thats why Marekani anapambana sana nchi kama Iran isifanikiwe kuwa nazo. Ila soon kwa msaada wa Russia ataenda kumiliki. Korea ya kaskazini inaxhotambia ni huo mzigo wa nuc.
 
Kila nikifuatilia hizi politics za wanasiasa na utawala nahisi kuwa miaka mingi sana huko nyuma palikuwa na civilization duniani yenye teknolojia ya juu ya nuclear halafu kuna jambo fulani likatokea.

Inawezekana duniani hakuna jipya ni mambo yale yale, mnazaliana mkifika kiwango fulani mnapotezana mnaanza upya kuzaliana hivyo hivyo miaka na miaka na miaka.

Kuna siku nchi nyingi zitakuwa na nuclear halafu tutabatizana kwa moto. Watakaokuja mbele watakutana na mifupa ya tembo wataanza kuwastudy kama tunavyowastudy dinasours mara watagundua fuvu la binadamu wa kwanza n.k watapitia yale yale halafu wakishakuwa wengi teknolojia ikakua mwendo ni ule ule. Kufutana.
 
Sikirimimimasikini, Marekani haiwezi kuingia mzigoni na nchi yoyote huku duniani ambayo inamiliki zana za nyuklia. Hata iwe ndogo kwa kiasi gani. Madhara ya nyuklia ni makubwa ndugu yangu. Thats why Marekani anapambana sana nchi kama Iran isifanikiwe kuwa nazo. Ila soon kwa msaada wa Russia ataenda kumiliki. Korea ya kaskazini inaxhotambia ni huo mzigo wa nuc.
Why iran isiwe nazo na wakati israel inamiliki nuclear? (Wana estimated 80 to 400 nuclear warhead kwenye stockpile yao) and yet u.s hasemi chochote .
 
Back
Top Bottom