1600 mbona bei rahisi...Tangu nifike hapa mjini miaka 16 iliyopita nikiwa mwanafunzi wa secondary, sijawahi hadi wa leo kununua kilo ya sembe kwa 1600 kwa kilo.
Aisee haya mambo ni tafu sana, maisha hayasongi kiukweli tuacheni mzaha jamani...
Mkuu jamani hebu tuweke siasa pembeni, unajua labda nyie wenzetu unashiba, kilo ya unga wa sembe 1600 hadi 1800 jamani tunaishi kweli?? na msimu ndo bado mbichii....Unga umeshapigwa marufuku bado mnautumia tu!
Itabidi ukaripoti sentro mara moja ulishaambiwa anaetakiwa kutangaza njaa ni mmoja tu...Tangu nifike hapa mjini miaka 16 iliyopita nikiwa mwanafunzi wa secondary, sijawahi hadi wa leo kununua kilo ya sembe kwa Tshs.1600.
Aisee haya mambo ni tafu sana, maisha hayasongi kiukweli tuacheni mzaha jamani...
Nimenunua juzi kilo moja 1800 wewe umeuziwa 1600 Heri yakoTangu nifike hapa mjini miaka 16 iliyopita nikiwa mwanafunzi wa secondary, sijawahi hadi wa leo kununua kilo ya sembe kwa Tshs.1600.
Aisee haya mambo ni tafu sana, maisha hayasongi kiukweli tuacheni mzaha jamani...
1800....au sio.....Dodoma kilo 18000 mkuu afu tunaambiwa hakuna njaa
Kilo ya nini?Dodoma kilo 18000 mkuu afu tunaambiwa hakuna njaa
Jamani tunahitaji msaada unga kilo elfu 2000 tunaenda wapi?viongozi wetu mko wapiTangu nifike hapa mjini miaka 16 iliyopita nikiwa mwanafunzi wa secondary, sijawahi hadi wa leo kununua kilo ya sembe kwa Tshs.1600.
Aisee haya mambo ni tafu sana, maisha hayasongi kiukweli tuacheni mzaha jamani...
msitukimbie kwenye janga hili tunajua hamleti mvua ila ebu saidieni bei zishuke tunaumia jamani.Ya unga....Kilo ya nini?
sembe mnapika ugali wa watu zaidi ya watano kwa kilo moja. sasa kama ni alfu mia sita, kwani bia mnanunua bei gani moja, mbona mnanunua bia zaidi ya buku mbili, mnazungusha meza yote na keep chenji ya baa medi juu. vumilieni hadi 2020.Tangu nifike hapa mjini miaka 16 iliyopita nikiwa mwanafunzi wa secondary, sijawahi hadi wa leo kununua kilo ya sembe kwa Tshs.1600.
Aisee haya mambo ni tafu sana, maisha hayasongi kiukweli tuacheni mzaha jamani...