Walipe fidia kivipi ikiwa wamejenga kwenye hifadhi ya reli?Walipe fidia kwanza asee! Maisha magumu sana
Dolphin, central bakery ... njia nzima ya reli nyosha mpaka kange .. muhezaTanga maeneo ya wapi mkuu?
Kachambe ulale we kipwinto.Si mnatishia kuwa nyiye ni wachawi?? Walogeni basi au logeni hiyo rangi inayoweka hizo X badala ya kuwa nyekundu iwe nyeupe mpake chokaa. Nnani aliwaambia mjenge kwenye maeneo ya reli??
Nitamchagua tena JPM akiliamsha tena lile gogo kutoka Tanga hadi Arusha. Usafiri ulikuwa poa na usafirishaji ulikuwa saafiii. Tukasafirisha sementi toka kiwandani hadi Arusha nauli ka bure. Leo!! Kaza baba Magu hadi macho yawatoke pima.
Kachambe ulale we kipwinto.
Na yale maghorofa ya bandari chafu vipi yatapona kweli pale?Nyumba zote kando ya reli hapa Tanga zinabomolewa kupisha reli. Ni kilio kitupu hapa. Zimewekewa X.
Kila mmoja ataguswa!