Kilio Tanga, bomoa bomoa ya reli!

Kilio Tanga, bomoa bomoa ya reli!

Ni wewe ndo kichwani uko patupu kabisa. Unakimbilia kulaumu unaonyesha shuleni ulikuwa unapokea kichapo cha ma-zero.
Hebu wewe unayemlaumu huyo Jamaa kwa kumlaumu rais Hebu toa hoja zako za msingi kwenye hili.... Yaani bomoa bomoa inaathiri mpaka majengo na miradi ya serikali wewe unaunga mkono??? Kwa hiyo serikali ilijenga eneo la reli???

Shule maarufu ya usagara inakuwa nyundo wewe unaunga mkono?? Ujinga gani huo??
 
Sasa na viwanda vinabomolewa tena? Huyo mbomoaji anatafuta kutumbuliwa
 
Hebu wewe unayemlaumu huyo Jamaa kwa kumlaumu rais Hebu toa hoja zako za msingi kwenye hili.... Yaani bomoa bomoa inaathiri mpaka majengo na miradi ya serikali wewe unaunga mkono??? Kwa hiyo serikali ilijenga eneo la reli???

Shule maarufu ya usagara inakuwa nyundo wewe unaunga mkono?? Ujinga gani huo??
Kumbe wameanzia mbali!!! Toka usagara sec!!! Dah shule langu lile, look to this day, usagara nakupenda wala sitakusahau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KUBOMOA RAHISI SAAAAAAAAAAAAAANA

KUJENGA NDIO ILIKUWA ISSUE NA ITAKUWA ISSUE SAAAAAAAAAAAAAAAAANA
 
Kwahiyo ile mizani ya pongwe pia itabomolewa?
 
Hebu wewe unayemlaumu huyo Jamaa kwa kumlaumu rais Hebu toa hoja zako za msingi kwenye hili.... Yaani bomoa bomoa inaathiri mpaka majengo na miradi ya serikali wewe unaunga mkono??? Kwa hiyo serikali ilijenga eneo la reli???

Shule maarufu ya usagara inakuwa nyundo wewe unaunga mkono?? Ujinga gani huo??
Shule ya msingi niliosoma imepisha uwanja wa ndege terminal 3 .
 
Back
Top Bottom