Kilio Tanga, bomoa bomoa ya reli!

Kilio Tanga, bomoa bomoa ya reli!

Yaani mkulu somesha namba haswa mpaka sote tushike adabu zetu! waache wasemeee weeee usiwasikilize wewe kamua. Na ule mpango wa Muheshimiwa Paul kuchkua hatamu 2025 upo pale pale
 
hii sasa ni awamu ya shetani...

kutia hasara jamii ili wazidi kuwa maskini
 
Kama umejenga karibu na reli/barabara unategemea nini na hiii sio kwa Tanga tu ni nchi nzima, wengine jiandaeni
 
Nyumba zote kando ya reli hapa Tanga zinabomolewa kupisha reli. Ni kilio kitupu hapa. Zimewekewa X.
Kila mmoja ataguswa!
Na bado waliopo kwenye eneo ambalo bomba la mafuta linapita. No fidia ni mwendo wa tingatinga tu hapa kazi tu. Ukichagua boga penda na ua lake.
 
Katika hali ya kuonyesha kuwa bomoa bomoa imeshika kasi, kasi hiyo itaikumba jiji la tanga.
Bomoa hiyo itayagusa majengo maarufu yanayopakana na reli katika eneo maarufu la kwaminchi, na baadhi ya majengo hayo ni pamoja na hotel maarufu ya makarios, hotel ya dolphin, nyinda hotel, kituo cha mafuta cha kwaminchi, yale majengo yaliyokuwa kiwanda cha sabuni zamani, na huenda ikavigusa mpaka viwanda vya pptl na pembe
Tayari majengo hayo yameshawekewa alama ya X na wamiliki wake wamepewa siku 30

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka picha, ila huyu jamaa kuna tatizo mahali siyo bure.

Wenzetu wanajenga yeye anapambana kubomoa nchi
 
Weka picha, ila huyu jamaa kuna tatizo mahali siyo bure.

Wenzetu wanajenga yeye anapambana kubomoa nchi
Ni wewe ndo kichwani uko patupu kabisa. Unakimbilia kulaumu unaonyesha shuleni ulikuwa unapokea kichapo cha ma-zero.
 
Back
Top Bottom