Kilio chetu wanageita kwa mama.veta ya geita mbona imetelekezwa ujenzi umesimama miaka mingi nini hatma

ommytk

JF-Expert Member
Jul 30, 2015
482
1,053
Kilio chetu kwa serikali yetu sikivu yenye kupenda maendeleo hapa kwetu geita miaka kadhaa iliyopita kulikuwa kuna ujenzi tulioambiwa ni WA chuo cha veta ambao ulikuwa ukiendelea ulikuja kusimama mpk sasa ni muda sana majengo yanabaki magofu pesa za serikali zishatumika mpk pale ilipo fika tunaomba serikali ipigie jicho Ione inasaidiaje maana tumejenga madarasa vijana wanaenda shule wakimaliza iki chuo kingesaidia sana Jana nimeenda kuona pale inasikitisha ni ndege tu wanalia uzio wa mabati ushaanguka .juzi nimesikia mh waziri akisema kuna pesa zimetengwa kwa ajili ya veta tunaomba geita veta iwe mojawapo
 
Kilio chetu kwa serikali yetu sikivu yenye kupenda maendeleo hapa kwetu geita miaka kadhaa iliyopita kulikuwa kuna ujenzi tulioambiwa ni WA chuo cha veta ambao ulikuwa ukiendelea ulikuja kusimama mpk sasa ni muda sana majengo yanabaki magofu pesa za serikali zishatumika mpk pale ilipo fika tunaomba serikali ipigie jicho Ione inasaidiaje maana tumejenga madarasa vijana wanaenda shule wakimaliza iki chuo kingesaidia sana Jana nimeenda kuona pale inasikitisha ni ndege tu wanalia uzio wa mabati ushaanguka .juzi nimesikia mh waziri akisema kuna pesa zimetengwa kwa ajili ya veta tunaomba geita veta iwe mojawapo
Mama ni msikivu,vuteni subira bajeti ijayo watakimalizia.
 
Kilio chetu kwa serikali yetu sikivu yenye kupenda maendeleo hapa kwetu geita miaka kadhaa iliyopita kulikuwa kuna ujenzi tulioambiwa ni WA chuo cha veta ambao ulikuwa ukiendelea ulikuja kusimama mpk sasa ni muda sana majengo yanabaki magofu pesa za serikali zishatumika mpk pale ilipo fika tunaomba serikali ipigie jicho Ione inasaidiaje maana tumejenga madarasa vijana wanaenda shule wakimaliza iki chuo kingesaidia sana Jana nimeenda kuona pale inasikitisha ni ndege tu wanalia uzio wa mabati ushaanguka .juzi nimesikia mh waziri akisema kuna pesa zimetengwa kwa ajili ya veta tunaomba geita veta iwe mojawapo
Picha ya magofu tafadhali
 
Jana tu, nimeiona majengo ya VETA Chato, pamoja na kukamilika sikuona dalili za harakati za binadamu, labda ningeshauri watu wa Geita wakakitumie vizuri chuo cha VETA kilichoko Chato, badala ya kujenga kingine, ni matumizi mabaya ya fedha za umma.
 
Kilio chetu kwa serikali yetu sikivu yenye kupenda maendeleo hapa kwetu geita miaka kadhaa iliyopita kulikuwa kuna ujenzi tulioambiwa ni WA chuo cha veta ambao ulikuwa ukiendelea ulikuja kusimama mpk sasa ni muda sana majengo yanabaki magofu pesa za serikali zishatumika mpk pale ilipo fika tunaomba serikali ipigie jicho Ione inasaidiaje maana tumejenga madarasa vijana wanaenda shule wakimaliza iki chuo kingesaidia sana Jana nimeenda kuona pale inasikitisha ni ndege tu wanalia uzio wa mabati ushaanguka .juzi nimesikia mh waziri akisema kuna pesa zimetengwa kwa ajili ya veta tunaomba geita veta iwe mojawapo
Mfalme wenu kaput.
 
Nyie badala mngeshauri mwendazake akzanie hiyo veta aachane na uwanja wa chato mlikaa kimya, kuweni wapole
 
Nyie si niwashabiki wa mwenda zake? Mtulie bos wenu kashakufa

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app

Mashabiki wa Mwendazake wametapakaa nchi nzima, ndio maana alipofariki Watanzania kila pembe ya nchi walimlilia

Pia, kila mkoa wa nchi hii chini ya utawala wa Magufuli kuna miradi iliyojengwa kuanzia barabara, vituo vya afya, shule/madarasa nk na bado miradi inaendelea kuendelezwa chini ya utawala wa Mamá Samia,

Hvyo Geita ni sehemu ya Tz ambayo wanachangia pato la Taifa na hvyo hvyo wanatengewa bajeti ya maendeleo ktk sekta mbalimbali za kimaendeleo ya mkoa
 
Naamini serikali yetu chini ya mama yetu kipenzi wataliona hili maana kuna wanafunzi wanamaliza kidato cha 4 mwakani pamoja na darasa la 7 hii nafasi yao kuanza kusoma itasaidia kupunguza vijana kukosa nafasi ya kusoma.kuhus majengo picha mpk niende pale ila jamii forum ingekuwa humu kuna waandishi wa habari hii ni moja ya habari ambayo inaweza kuwepo katika taarifa ya habari sina hakika kama kuna waandishi habari humu ambao wapo geita ni habari tosha hii ata kwenye gazeti
 
Back
Top Bottom