Kilio cha watu wa kusini ya tanzania

sio maneno mazuri ni jukumu la serikali kutengeneza barabara,,by the way mbona lindi mjini na kilwa kuna wabunge wa upinzani-CUF na hakuna mabadiliko yoyote
Mkuu wananchi wa huko hayo wamejitakia wenyewe. Wanaishi miezi miwili tu kila baada ya miaka mitano, wakidanganywa na zawadi za khanga na mia tano tano.
 
Ni kweli kabisa nguvu ya CDM kwa mikoa ya kusini ni ndogo,ila nadhan viongoz wanalitambua hilo,kwan uzuri wa viongoz wa CDM wana vision n strategies za ukweli,pia 2kumbuke chama hakina resources za kutosha kama chama chakachua matokeo..
 
Back
Top Bottom