Kilio cha wake wa matajiri

Kilio cha wake wa matajiri

KAHIMERIA

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2021
Posts
358
Reaction score
424
Habarini wakubwa,

Niende kwenye mada moja kwa moja
Kwanza mtanisamehe kwakuwa Mimi sio mwandishi nzuri.

Mimi ni kijana mnaefanya huduma kwenye taasisi Fulani kubwa tu inayojihusisha na utatuzi wa changamoto za kijamii.

Sasa Kuna changamoto ni kubwa Kwa Sasa Tena Sasa ivi ni janga nikaona ni share na ninyi Ili Kwa pamoja tujifunze kitu.

Hapa nataka niseme na watu ambao Wamenyanyuka kidogo kiuchumi mmesahau wajibu wenu kwenye ndoa zenu.

Ni sawa mna mambo mengi yakufanya lakini msisahau wake zenu kuwapa haki zao tafafhali vilio ni vingi Tena sanaaaaa.

Na pia wake zenu wanajidhalilisha mno na watoto wadogo na watu wasio na SIfa pia.

OMBI LANGU rekebisheni tabia wake zenu wanahaha mno
 
Duh..Wake Wa Maskini Wamepona Kadhia hii...!
Aisee embu tuulizie huko hao Wanawake Wana Wana Maoni gani Kuhusu 'Katiba Mpya'... Maana tuna Safari ndefu..
 
Sifa kubwa ya tajiri ni kujali na kuwa na nidhamu kwa kila anachofanya.

Bila shaka unazungumzia maskini wenye hela.
 
Wanaume maskini pia wanalia maana wake wao wanaamka mapema kwenda sokoni na jioni wanarudi wamechoka wanakutana na dume limeshiba maana halikutoka nyumbani lakini mama akifika kitandani Yuko hoi anamwambia ukimaliza nifunike.
 
Ukitaka kupotea kwenye maisha msikilize mwanamke anachoongea ukiwa masikini ukiomba mzigo unaambiwa hizo nguvu ukielekeza kutafuta pesa utakuwa mbali ukiwa na pesa wanajifanya wanataka kila mda hao hawajui hata wanataka nini.
 
Habarini wakubwa
Niende kwenye mada moja Kwa moja
Kwanza mtanisamehe kwakuwa Mimi sio mwandishi nzuri.
Mimi ni kijana mnaefanya huduma kwenye taasisi Fulani kubwa tu inayojihusisha na utatuzi wa changamoto za kijamii
Sasa Kuna changamoto ni kubwa Kwa Sasa Tena Sasa ivi ni janga nikaona ni share na ninyi Ili Kwa pamoja tujifunze kitu.
Hapa nataka niseme na watu ambao Wamenyanyuka kidogo kiuchumi mmesahau wajibu wenu kwenye ndoa zenu
Ni sawa mna mambo mengi yakufanya lakini msisahau wake zenu kuwapa haki zao tafafhali vilio ni vingi Tena sanaaaaa.
Na pia wake zenu wanajidhalilisha mno na watoto wadogo na watu wasio na SIfa pia.
OMBI LANGU rekebisheni tabia wake zenu wanahaha mno
Wacha bodaboda waendeee kula mbunye za wakubwa...ila wenye pesa wanakuaga smart Sana mbaka kwenye kuduu we utakua unaongelea wasikini wenye vipesa vya mboga mbili
 
Sawa tuu Mungu hawezi kukupa vyote wacha wake za maskini wafurahie unyumba, na wake za matajiri wakose hizo.raha. Wapate vyote wao nani bwana ktk dunia hii, wacha tugawane shida bwana.
 
Masikini tunakosa kazi mda wote tunakesha xvideos kutafuta matilio ya kujaribu chumbani na wake zetu, tungeishi kama maboss wala hii nchi joto lisingekuwa kali
 
Habarini wakubwa
Niende kwenye mada moja Kwa moja
Kwanza mtanisamehe kwakuwa Mimi sio mwandishi nzuri.
Mimi ni kijana mnaefanya huduma kwenye taasisi Fulani kubwa tu inayojihusisha na utatuzi wa changamoto za kijamii
Sasa Kuna changamoto ni kubwa Kwa Sasa Tena Sasa ivi ni janga nikaona ni share na ninyi Ili Kwa pamoja tujifunze kitu.
Hapa nataka niseme na watu ambao Wamenyanyuka kidogo kiuchumi mmesahau wajibu wenu kwenye ndoa zenu
Ni sawa mna mambo mengi yakufanya lakini msisahau wake zenu kuwapa haki zao tafafhali vilio ni vingi Tena sanaaaaa.
Na pia wake zenu wanajidhalilisha mno na watoto wadogo na watu wasio na SIfa pia.
OMBI LANGU rekebisheni tabia wake zenu wanahaha mno
Wenye pesa wengi ni mafuska kwa sababu wanawezapata demu anytime kutokana na hela walizonazo na ni vigumu sana kuona mwenye pesa kuwa na mwanamke mmoja. Utakuta jamaa kila kona ya mji ana demu na kila demu analilia akachapwe na jamaa kwani wanafikiri kutombwa na jamaa ndiyo kupendwa naye. Jamaa anakuwa bize sana nje ya nyumba yake anamshughulikia mkewe siku akijisikia tu na mwanamke anashindwa kuomba unyumba kuhofia kuitwa malaya. Pia, usijione mjanja kuchapa wake za wenye pesa kwani wengi wao wameambukizwa maradhi na waume zao. Angalia wanawake warembo hapa Dar, wengi wao ni waathirika.

PS: Usitamani mke wa mfanyabiashara, polisi, mwanajeshi, mwana muziki, mbunge, mwana siasa. Hata wa bure kataa, kimbia mbio za kufa mtu kwani anakuwa kauficha umeme kwenye papuchi anataka kuusambaza kwako bure.
 
Ndio maana Mwanamme anakojoa Haraka Anasepa ,Yaani tuache kutafuta pesa za kuwarithisha watoto wetu. Tuanze kutafuta njia za kuwaridhisha wake?. Huo si uanaume .
 
Na pia wake zenu wanajidhalilisha mno na watoto wadogo na watu wasio na SIfa pia.
Siyo kwamba wanajidhalilisha bali wanaitafuta faraja na haki ya tendo la ndoa kwa hao vijana.

Juzi nimeingizwa chumbani kabisa na nikaichakata papuchi ya mke wa bosi mmoja (kitandani kwake kabisa) ambaye kucha kutwa anahudhudhuria semina na warsha huko Dodoma. Mke kamuacha Dar.

Nikakabidhiwa mpunga wa kutosha nikasepa mwana wane
 
Back
Top Bottom