BlackBerry
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,839
- 956
pole sana aisee, Mungu yupo kwa ajili ya wote
Good ubarikiwe NgwanakilalaDaah this is very sad. Nimekutumia private email. I will see what i can do to help!
<br />Daah this is very sad. Nimekutumia private email. I will see what i can do to help!
<br />Pole sana mkuu, then try kutafuta hata shule ya private upige ufundishe angalau upate hela ya mboga.<br />
Mimi nilisoma raman mapema japo 4m 6 nilipiga 1 nilianza kusomea ualimu nimekamata ajira then later naendelea na B.a human resource hapo hata huko mbele deal zikibuma narudi kukamata chaki maisha yanasonga.<br />
<br />
Nakuombea kwa Mungu upate kazi.
jipe moyo kaka tulimaliza wote huo mwaka ,ninaami kuna mwale wa matumaini. Usiogope kwa kuliweta tatizo ndo wakati wa kuinuliwa kwako may lord bless you always!
pole sana ndugu, usikate tamaa mwamini mungu atafanya kwa wakati wake unaofaa, yote hayo yatapita na kufika mwisho wake. Fuata ushauri mbali mbali waliotoa wadau hapa jamvini utakufaa
<br />
<br />
Nina imani uko serious kumsaidia huyu ndugu. Mungu akubariki na akupe mwongozo na hekima kwa kile unachomuandalia huyu ndugu yetu ili kiwe msaada.
Kuhusu picha itabidi askani? Na kama hana hata pesa ya kuskani itakuwaje?
pole sana aisee, mungu yupo kwa ajili ya wote
daah this is very sad. Nimekutumia private email. I will see what i can do to help!
<br /><br />
<br /><br />
hii stlye yako nimeipenda sana!nliwahi kuitumia wakati wa njaa kali ilinitoa sana.
yap Mkuu, maisha ya sasa ni movie tosha so tunatakiwa tuwe actors.
Me nimetumia hiyo na nov/oct narudi varsity nasonga mbele huku ajira yangu mshahara kama kawaida.
Tumuombee dua mshkaji nae afanikiwe mana Bongo hii bila mkwanja ni jehanamu!