Maisha ndivyo yalivyo,tuombe sana unyenyekevu kwa Mungu,wengi tunajisahau!Sasa mwenzio mama yake anaumwa we unaingia mitini!Malipo ni hapa hapa Duniani.Mwandishi no mtu wa karibu wa mlalamikaji
Nimesikiliza video ya Mh Kigwangwala nimecheka sana
Huyu alikua Rafiki yangu sana kabla hajawa Waziri. Hata alipokuja London mimi ndio nilikua mwenyeji wake na nilimpokea kwa heshima sana yeye na kamati ya Bunge aliyokua akiongoza
Alipoteuliwa kua Waziri Wizara ya Afya mimi wakati huo nilikua namuuguza Mama Mkwe wangu aliekua akiumwa Ugonjwa wa Kansa. Kwa uchovu wangu nilikua nashindwa kupata kitanda pale Ocean road hivyo nikampigia simu kumuomba msaada nipate kitamda ili Mama Mkwe wangu ahamishiwe pale kutoka Muhimbili. Huwezi amini huo ndio ulikua mwisho wa mawasiliano yetu na akanipiga bloku. Iliniuma ila nikapotezea nikakomaa kigumu kuugua mgonjwa wangu
Jamaa alipotumbuliwa mara ghafla akaanza kunitafuta. Mimi sijawahi mbloku ila hua sijibu simu wala meseji sababu naogopa nitampa ukweli wake
Najua inamuuma sasa kwa sababu hajui na sasa anajua, ila hii ndio tabia ya Wanasiasa wengi wakiishateuliwa hua wanapotezea marafiki na kuwaona kama nuksi.
Anyway. CHEO NI DHAMANA. What goes around comes around …
View attachment 3573616
Hamis alijisahau. Kwenye hizi wizara kuna watu hawana umaarufu wala elimu kubwa ila wanaweza battle na waziri na huyo waziri akang'oka.Good kwamba amekuwa honest na ame-share huu uzoefu, japo ni kitu obvious.
Kinachonishangaza ni kwamba nje ya ubunge, nje ya uwaziri wengine huwa honest na kuonyesha 'utu' nk. Ni huyu huyu Hamisi ndio alinyanyasa watu na vitisho tele akiwa pale wizara ya maliasili.
Jua la mchana haliwaki usiku, nimeichukua hioWakwe zake wenye asili ya uchifu wali mpambania mpaka aka ulamba ubunge, alivyo upata aka waona mafala.
miksa dharau nyingi, ali ambiwa jua la mchana haliwaki usiku.
Ni shemeji yangu fala huyu wa tabora.
Kuna muha alitaifishwa ng'ombe 800 pori la Runzewe kipindi cha huyu jamaa.Good kwamba amekuwa honest na ame-share huu uzoefu, japo ni kitu obvious.
Kinachonishangaza ni kwamba nje ya ubunge, nje ya uwaziri wengine huwa honest na kuonyesha 'utu' nk. Ni huyu huyu Hamisi ndio alinyanyasa watu na vitisho tele akiwa pale wizara ya maliasili.
kama vipi akapate ujuzi VETA kwanza ili kuweza kujiajiri kikamilifu!Alikua na vitisho sana"Ngoja aishi life la kujiajiri kama alivyotuambia