Kuna mapigano yanaendelea kati ya jeshi la polisi na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi huko kilindi, Tanga.
Inasemekana kuwa polisi walikwenda kwa ajili ya kuwakamata,lakini jamaa hao walikataa kujisalimisha na kuanza kuwashambulia polisi kwa mapanga.
source: mtu aliyeko eneo la tukio
Inasemekana kuwa polisi walikwenda kwa ajili ya kuwakamata,lakini jamaa hao walikataa kujisalimisha na kuanza kuwashambulia polisi kwa mapanga.
source: mtu aliyeko eneo la tukio