TAJIRI MSOMI
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 501
- 526
Ni kweli mkuuTuwasubiri wanufaika....
Wakuu Wa Kilimo habari!
Naombeni kujuzwa habari za hawa jamaa wanajiita JATU KILIMO, wao wanajinadi kuwa ni kampuni kubwa lenye makao yake dsm, Kazi mojawapo wanayofanya ni kuwasadia wakulima kwa kuwaunganisha na kudanya kilimo kwa niaba yao.....Yaani mkulima unatoa pesa 678,000 kwajili ya kilimo cha mahindi, wao watafanya kila kitu kuanzia kulima, kuhudumia mpaka kuvuna, na kukuwekea gharani, kwa eka moja mkulima anapewa magunia 30 ya mahindi........hivyo hivyo kwenye mazao mengine kama maharage, mpungu na alizeti...
Maswali yangu.
1. Je kuna mtu aliswhai kulima now? vile wanaahidi ni vya kweli??
2. Je kuna harufu yeyote ya utapeli kwenye miradi yao hio?
3.Je hakuna ubabaishaji wowote?
4.Je wewe ulishawai kufanyanao biashara hio na ukapata kama wanavyoahidi?
Naombeni maoni yenu wadau, maana natamani nijilipue na eka 50 za mahindi huko kiteto
Asante mkuu kwa ushauri wako, naufanyia kaziKama una Passion ya kilimo ingia shambani lima na huu ndo mfumo wa kilimo Dunia nzima.
Hi sijii unatoa pesa ulimiqe ni vitu vya ajabu sana
Wakuu Wa Kilimo habari!
Naombeni kujuzwa habari za hawa jamaa wanajiita JATU KILIMO, wao wanajinadi kuwa ni kampuni kubwa lenye makao yake dsm, Kazi mojawapo wanayofanya ni kuwasadia wakulima kwa kuwaunganisha na kudanya kilimo kwa niaba yao. Yaani mkulima unatoa pesa 678,000 kwajili ya kilimo cha mahindi, wao watafanya kila kitu kuanzia kulima, kuhudumia mpaka kuvuna, na kukuwekea gharani, kwa eka moja mkulima anapewa magunia 30 ya mahindi hivyo hivyo kwenye mazao mengine kama maharage, mpungu na alizeti.
Maswali yangu.
1. Je, kuna mtu aliswhai kulima now? vile wanaahidi ni vya kweli??
2. Je, kuna harufu yeyote ya utapeli kwenye miradi yao hio?
3. Je, hakuna ubabaishaji wowote?
4. Je, wewe ulishawai kufanyanao biashara hio na ukapata kama wanavyoahidi?
Naombeni maoni yenu wadau, maana natamani nijilipue na eka 50 za mahindi huko kiteto
Asante mkuu kwa ushari wakoNdugu TAJIRI MSOMI huo ni utapeli, sikushauri hata kidogo. Ingia Shambani mwenyewe ukalime, kilimo cha simu ni utapeli mkubwa. Kama unayo hiyo hela fanya uwekezaji mwingine kama huna muda wa kulima au kuingia shambani ukasimamia kwa asilimia 100.
Asante mkuu, Ni kweli mimi mweneyewe napata wasiwasi kweli kufikisha magunia hayo 30 pia na bei wanazosema ndio maana nikaona bora nimpate angalau maoni au ushuhuda wa aliyewai kulima naoSiwajui, lakini jitahidi kufanya uchunguzi sana kabla ya kutoa pesa yako. Gharama za jumla za kilimo cha mahindi kwa wastani kwa ekari moja inawezafika hiyo laki sita na point, ila sijaona wao faida ya kujiendesha itatoka wapi na pia nina wasiwasi wa kufikisha hayo mavuno ya gunia 30 kwa ekari.
Ha ha ha ila kama zinafana vile eeh😎Wapi NAMAENGO??
Everyday is Saturday....................... 😎
Ni kweli mkuu,ngoja wajuzi watuambieNina makaratasi yao na vipeperushi kibao na fomu ila nawazaga sipati majibu hata nikisoma maelezo yao naamini humu watakuja wabobezi wa hawa jamaa
Ni kweli mkuu ngoja waje wajuziCc. Mr Kuku
DECI
Q NET & Co.
Kuna kamsema maarufu humu; ukiitwa kwenye fursa jua wewe ndio fursa
Tusubiri wanufaika waje waseme neno
Na Kijani Kibichi ya Adam Rashid Ngemange, matapeli wakubwaWapi NAMAENGO??
Everyday is Saturday....................... 😎
Asanteni sana wadau ningeingia king aiseeNa Kijani Kibichi ya Adam Rashid Ngemange, matapeli wakubwa
Gharama za mahindi kwa ekari moja kwa wastani ni laki 3. Issue ninayoiona hapo ni hizo gunia 30 kama zinaweza kupatikana. ... na makataba wao sijui kama utakua umeelezea majanga asilia kama mvua kua nyingi au kidogo na kuathiri mavuno sababu hapa ndio sehemu ya kupigiwa mtu.Siwajui, lakini jitahidi kufanya uchunguzi sana kabla ya kutoa pesa yako. Gharama za jumla za kilimo cha mahindi kwa wastani kwa ekari moja inawezafika hiyo laki sita na point, ila sijaona wao faida ya kujiendesha itatoka wapi na pia nina wasiwasi wa kufikisha hayo mavuno ya gunia 30 kwa ekari.