dah!! nimwkumbuka mbali sana........miaka yetu ile unakuwa na hivi alivyo navyo dogo..then fagio... mzigo wa nyasi... kuni za mwalimu wa zamu.....halafu na rambo ya madaftari....
Umesahau na fimbo ya kuchapia wahalifu. Tulikuwa tunatumwa fimbo ya mchongoma na mianzi iliokaushwa vizuri...
Ila kwa karne hii mie napinga watoto kufanyishwa mambo 1947?