My Joash
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 270
- 213
Wakuu salam, kuna mtu kanisimulia kuhusu kampuni inayofanya kilimo kwenye mtandao.kwamba unatuma hela wao wanalima na kushughulikia mazao,yakiwa tayari wanauza unapewa hela yako,je ni kweli? Au ni jamii ya akina DECI ?
Naomba mwenye ufahamu zaidi anijulishe.Jamaa aliyeniambia anaanza kushawishika kujiunga nao,mimi napata mashaka na hii kitu.
Karibuni wakuu.
Naomba mwenye ufahamu zaidi anijulishe.Jamaa aliyeniambia anaanza kushawishika kujiunga nao,mimi napata mashaka na hii kitu.
Karibuni wakuu.