Wakuu Mimi ni kijana mpambanaji na mwaka huu nilitaka kujikita katika kilimo Cha mpungaa kwa umwagiliaji na nimependekeza kulimia Kapunga/morogoro
Hivyo basi naombeni muongozo katika hio
a. maeneo ambayo ni mazuri
b.Upatikanaji wa mashamba
c.Gharama zake kuanzia
d.Mbegu
e.mbolea
Pia kama kuna mtu mwenye ushauri au muongozo zaidi ya hayo nilotaja naomba anisaidie.
Hivyo basi naombeni muongozo katika hio
a. maeneo ambayo ni mazuri
b.Upatikanaji wa mashamba
c.Gharama zake kuanzia
d.Mbegu
e.mbolea
Pia kama kuna mtu mwenye ushauri au muongozo zaidi ya hayo nilotaja naomba anisaidie.