Ndugu zangu habari zenu jamani, mimi kijana Nina miaka 23 naishi Morogoro. Katika harakati za kuhangaikia maisha nimekuja kugundua kijana kama mimi ili niweze kufanikiwa kwa haraka zaidi kilimo ni njia pekee inayoweza kutusaidia kutusua kimaisha. Najua zipo shughuli nyingi za kutuingizia kipato ukiachana na kilimo.
Lakini Kwa upande wangu nimeamua kujikita na kilimo. Kwa Sasa Nina uzoefu wa kilimo Cha mpunga kwasababu maeneo ninayoishi ndiyo shughuli kuu. Ukiachana na hayo nimevutiwa na kilimo Cha ALIZETI kimenivutia Kwa sababu naona trends sokoni ni kubwa yaani inahitajika sana (MAFUTA).
Hivyo basi ningeomba kama Kuna uwezekano wa kupata eneo au maeneo(SHAMBA) nijue gharama Kwa kukodi na pia namna ya kuandaa SHAMBA na baada ya muda gani mavuno yanafanyika.
AHSANTENI SANA
Lakini Kwa upande wangu nimeamua kujikita na kilimo. Kwa Sasa Nina uzoefu wa kilimo Cha mpunga kwasababu maeneo ninayoishi ndiyo shughuli kuu. Ukiachana na hayo nimevutiwa na kilimo Cha ALIZETI kimenivutia Kwa sababu naona trends sokoni ni kubwa yaani inahitajika sana (MAFUTA).
Hivyo basi ningeomba kama Kuna uwezekano wa kupata eneo au maeneo(SHAMBA) nijue gharama Kwa kukodi na pia namna ya kuandaa SHAMBA na baada ya muda gani mavuno yanafanyika.
AHSANTENI SANA