Kilimo cha miti - Mufindi

MansaMusa

Senior Member
Sep 11, 2013
103
12
Wana JF
Nauza shamba la kupanda miti.
Zipo hekari 100, wilaya ya Mufindi kijiji cha Ibwanzi.

Kila Hekari ni Tsh 120,000/=.
Msimu ndio huu changamkieni dili hili, ukinunua nyingi bei inapungua.

Pia nitakuuzia na miche ya miti kwa Tsh 80/= tu kwa mche.

Contact: 0687 022 411
 
Bado hujanipa sababu nzuri ya kununua kwa bei hiyo. Tutapanda magari ya kwenda mdabulo halafu mwisho wa gari kule tutanunua kwa bei ya buure.Nikitoa million 2 nitajipimia mwenyewe .
 
Bado hujanipa sababu nzuri ya kununua kwa bei hiyo. Tutapanda magari ya kwenda mdabulo halafu mwisho wa gari kule tutanunua kwa bei ya buure.Nikitoa million 2 nitajipimia mwenyewe .

Vizuri pia waonyeshe na wadau wengine wakanunue huko ununuako weye, ili uwasaidie wengi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…