Kilimo cha miti - Mufindi

MansaMusa

Senior Member
Sep 11, 2013
103
12
Wana JF
Nauza shamba la kupanda miti.
Zipo hekari 100, wilaya ya Mufindi kijiji cha Ibwanzi.

Kila Hekari ni Tsh 120,000/=.
Msimu ndio huu changamkieni dili hili, ukinunua nyingi bei inapungua.

Pia nitakuuzia na miche ya miti kwa Tsh 80/= tu kwa mche.

Contact: 0687 022 411
 
Bado hujanipa sababu nzuri ya kununua kwa bei hiyo. Tutapanda magari ya kwenda mdabulo halafu mwisho wa gari kule tutanunua kwa bei ya buure.Nikitoa million 2 nitajipimia mwenyewe .
 
Bado hujanipa sababu nzuri ya kununua kwa bei hiyo. Tutapanda magari ya kwenda mdabulo halafu mwisho wa gari kule tutanunua kwa bei ya buure.Nikitoa million 2 nitajipimia mwenyewe .

Vizuri pia waonyeshe na wadau wengine wakanunue huko ununuako weye, ili uwasaidie wengi.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom