Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 119,225
- 142,033
umenikumbusha nyuma ya girls dormitory karibu na sanatorium,.........
Na mengine ilikuwa Junior football ground karibu na mwalimu (...)...
umenikumbusha nyuma ya girls dormitory karibu na sanatorium,.........
Hahahahaha hapa miss chagga haya nimatunda ila kilicho ndani yaje ni kama naziZile wanazoweka kwenye chocolate?
Ah,mwenyew mecheza san pande izo z tkuy mkuu udogoni ase nd ilikuw michez etu.Yaa, mkuu kuna sehemu flan tukuyu, enzi za utoto tumechezea saana haya makaranga asee...
Mmh naomba picha ambayo yako tayari kuliwa mkuu .. tufundishane tuHahahahaha hapa miss chagga haya nimatunda ila kilicho ndani yaje ni kama nazi
ndiloloSisi pia tulikuwa tunaita Karanga (Masyabhara)kwa kilugha. Tulicheza sana utotoni wakati wa msimu wake lakin tulivyozid kuwa wakubwa upatikanaji wake ulikuwa adim na hii imechangiwa sana na kuongezeka kwa mqtumizi ya huu mti kwa ajili ya kupasua mbao na kutengenezea mkaa.
ndilolo
Duu sisi ilikuwa pale betament kwa BernatMatamu kweli yanapotea. Nakumbuka zamani tulikuwa tunaingia shamba la misheni Irente Farm Lushoto kuiba.
Mwaka gani huo?pole sanaMkuu nilishikwa na hili zao nikilitoa Kny kupeleka Tng nilionyeshwa rangi zote
Asante sana
Kuna jamaa kaweka link hapo kilo moja si chini ya $30 yaani elfu 60 na usheeNimekula sana Kadamia miaka 10 iliyopita.
Nakumbuka tulikuwa tunacheza hadi kamari ya kadamia kwa kuzamisha kwenye vishimo na kulenga.
Ukiacha kula kwa kupasua na kutafuna, pia hutwangwa na kuungwa kwenye mboga.
Nakumbuka miti mingi kuiona na mkoani Mbeya, tarafa ya Busokelo.
Nje ya hapo sijawahi kuiona TENA popote licha ya kutembea mikoa mingi.
Nakubali kwamba mmea huo unapotea.
Brother mshana, kuna matumizi mengine unifahamishe isije ikawa fursa?
kaka mshana jr:nitapata mmche wake nioteshe home mimi niko arusha kwa sasaGanda la nje gumu ukilipasua kiini chake ndio kinaliwa
Watoto huzitumia sama michezoni zina umbo la duara kama gololi
Aisee hata mimi nafanya mchakato huo usijalikaka mshana jr:nitapata mmche wake nioteshe home mimi niko arusha kwa sasa
Kule kwetu zamani tukiwa wadogo tulikuwa tukiita KoroshoNi kama tunda nyama yake ya ndani kama nazi