MCHONGANISHI
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 372
- 364
Unapotea kivipi hapo Arusha School, Uzunguni imejaa ya kutosha... Nyumbani kwenyewe iko ya kutosha matunda yake yanaitwa vinati
Hii lazma ilikuwa kule kukaja..Sisi pia tulikuwa tunaita Karanga (Masyabhara)kwa kilugha. Tulicheza sana utotoni wakati wa msimu wake lakin tulivyozid kuwa wakubwa upatikanaji wake ulikuwa adim na hii imechangiwa sana na kuongezeka kwa mqtumizi ya huu mti kwa ajili ya kupasua mbao na kutengenezea mkaa.
Unapotea kivipi hapo Arusha School, Uzunguni imejaa ya kutosha... Nyumbani kwenyewe iko ya kutosha matunda yake yanaitwa vinati
Hongera mshana, kwetu tuliziita karanga za kwenye Miti, zilitumika zaidi kuchezea kama goroli Na kushindanishana kwa Pesa/ kamari Na tamu sana ukiita Nazi ndogo hujakosea.Ganda la nje gumu ukilipasua kiini chake ndio kinaliwa
Watoto huzitumia sama michezoni zina umbo la duara kama gololi
Nuts hizo... nimekula sana hizo ndude...
Korosho mix karanga hivi... ni tamu sana...Ladha yake ikoje? Kama karanga?
pale sogea ukipandisha juu kuna mzungu ana plantation kubwa ya macadamia, miti mingi sana.Hii lazma ilikuwa kule kukaja..
Karanga macadamiaNi nini hiyo
Zile wanazoweka kwenye chocolate?Karanga macadamia
Macadamia nuts ,ni mazuri mno yako shamba la research pale Tengeru haaa haaaSie tulkua tunaita vinazi umenkumbusha tengeruuu(taasisi flan Iv ya kilimo tulkua tnaenda kuiba kwenye shamba lao
Ili tunda lilkua maaruf sana kwa watt wa tengeru primary
Mkuu embu lete detail naweza kuzilima ? Na soko tz vip
Yah men bas tuktoka pale tnashuka chemchemMacadamia nuts ,ni mazuri mno yako shamba la research pale Tengeru haaa haaa
umenikumbusha nyuma ya girls dormitory karibu na sanatorium,.........Yeah Arusha School hiyo miti ilikuwa mingi sana...