Kilimo cha Bashe hakina dira yoyote, ni porojo tu. Sasa anataka wakulima waisajili mikorosho ili iweje?

šŸ¤£šŸ¤£Hivi Somalia Kuna mikorosho?
Aanze kuwasaidia ndugu zake wanaokimbia njaa Somalia daily,wakienda south Africa kuomba hifadhi ya ukimbizi
Ndo aje aongelee kilimo Cha Tanzania,the mother Land šŸ™
Sisi ni wabaguzi sana.
 
Haya sema, unachotaka kukielewa ni nini?

Mimi siyo "mkuu", Mkuu ni mmoja tu, Muumba mbingu na Ardhi.
Hii ni namna ya kuheshimishana tu humu JF. Nia siyo kukupa nafasi ya Muumba. Hata hivyo Kuna mkuu wa nchi, mkuu wa majeshi, mkuu wa familia.
 
Hii ni namna ya kuheshimishana tu humu JF. Nia siyo kukupa nafasi ya Muumba. Hata hivyo Kuna mkuu wa nchi, mkuu wa majeshi, mkuu wa familia.
Asante sana naona anamakengeza
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Wewe kaka huna akili, akili Yako imejaa chuki na ujuajinki kipumbavu, kwani wewe hujui kwamba kina mkorosho huwa una quantity yake ya kunyunyuzia viatilifu? Na hujui kuwa serikali inatoa ruzuku kwenye pembejeo za mikorosho? Sasa wata project vipi mahitaji ya hizo pembejeo bila kusajili mkulima na idadi ya mikorosho anayoimiliki, sisi wakulima wa korosho tunajua Hilo na hatujaanza Leo, kila mwaka tunahuisha maana mikorosho inapandwa mipya na mingine umri unaongezeka. Mkorosho wa miaka mitatu hauwezi kuhitaji pembejeo sawa na mkorosho wa miaka kumi. Na mwenye mikorosho 100 hawezi kuhitaji pembejeo sawa na mwenye mikorosho 700
Nimekuelewa sana mkuu.
Asante
 
Mimi Bado simuelewi kabisa Hussein, anasema wakulima wa korosho waanze kuisajili mikorosho Yao ili iwe Nini?

Anajishughulisha na vitu vingi visivyokuwa na tija kabisa! Kusajili mikorosho kutaleta nafuu Gani kwa mkulima?

Hilo ndio hitaji la wakulima wa korosho? Itasaidia Nini kwa wakulima au itaongeza tija Gani?

Anachakarika na vitu vya ajabu ajabu wakati kuna mambo chungu nzima ya kimkakati hayajafanyiwa kazi, kwakweli nimechoka na porojo nyingi za hussein.
Nchi hii haina Serikali. Baraza bovu la mawaziri na Rais wa hovyo. It is a rubbish government. Ni matope.
 
Mimi Bado simuelewi kabisa Hussein, anasema wakulima wa korosho waanze kuisajili mikorosho Yao ili iwe Nini?

Anajishughulisha na vitu vingi visivyokuwa na tija kabisa! Kusajili mikorosho kutaleta nafuu Gani kwa mkulima?

Hilo ndio hitaji la wakulima wa korosho? Itasaidia Nini kwa wakulima au itaongeza tija Gani?

Anachakarika na vitu vya ajabu ajabu wakati kuna mambo chungu nzima ya kimkakati hayajafanyiwa kazi, kwakweli nimechoka na porojo nyingi za hussein.
Ungeuliza rationale yake badala ya kuvurumisha negativity
 
šŸ¤£šŸ¤£Hivi Somalia Kuna mikorosho?
Aanze kuwasaidia ndugu zake wanaokimbia njaa Somalia daily,wakienda south Africa kuomba hifadhi ya ukimbizi
Ndo aje aongelee kilimo Cha Tanzania,the mother Land šŸ™
Tatizo wa kabila lako wakiteuliwa kuwa Mawaziri hawana jipya
 
šŸ¤£šŸ¤£Hivi Somalia Kuna mikorosho?
Aanze kuwasaidia ndugu zake wanaokimbia njaa Somalia daily,wakienda south Africa kuomba hifadhi ya ukimbizi
Ndo aje aongelee kilimo Cha Tanzania,the mother Land šŸ™
Hakuna mtu anayechagua azaliwe wapi, jinsia yake ,kabila lake au nchi (labda atafute uraia wa kuandikishwa).
Kwa hiyo, huu ubaguzi wa kijingajinga hautufai hata kidogo.
Raia wote wa kuzaliwa wana haki sawa.
Habari za siasa na uwajibikaji serikalini ni mengine hayo na yasihusishwe moja kwa moja na nasaba yake.
 
Mimi Bado simuelewi kabisa Hussein, anasema wakulima wa korosho waanze kuisajili mikorosho Yao ili iwe Nini?

Anajishughulisha na vitu vingi visivyokuwa na tija kabisa! Kusajili mikorosho kutaleta nafuu Gani kwa mkulima?

Hilo ndio hitaji la wakulima wa korosho? Itasaidia Nini kwa wakulima au itaongeza tija Gani?

Anachakarika na vitu vya ajabu ajabu wakati kuna mambo chungu nzima ya kimkakati hayajafanyiwa kazi, kwakweli nimechoka na porojo nyingi za hussein.
Kama umewahi kufanya kazi kwenye Agricultural sector ni rahisi kuelewa hoja ya Bashe ilipo.

Hiyo kitu wanaita plant count, ukijua plant count ni rahisi kufanya makadirio sahihi ya inputs(mbolea na madawa) na pia uzalishaji.

Ukijua makadirio ya uzalishaji inakuwezesha kufanya mipango mingine kwa usahihi, mfano marketing na hata processing kulingana na production capacity yako.

Ni kama kufanya sensa ya watu na makazi tu. Kilimo cha kisasa kinataka numbers zijulikane for adequate planning & budgeting.
 
Wewe unaona inawezekana?
Kama wakulima wote wakisajiliwa na idadi sahihi ya miti waliyonayo why not...ni hesabu nyepesi tu ya kujumlisha!

Tatizo lipo kwenye wajinga kuwafanya wakulima wadhani serikali ina nia mbaya.

Truth be said, ukulima wa kisasa unahitaji proper planning. Huwezi kuipata hiyo unless uwe na figures kama hizo za idadi ya wakulima, profiles including age(kuna child labour issues mashambani) locations zao na idadi ya miti.
 
Mimi Bado simuelewi kabisa Hussein, anasema wakulima wa korosho waanze kuisajili mikorosho Yao ili iwe Nini?

Anajishughulisha na vitu vingi visivyokuwa na tija kabisa! Kusajili mikorosho kutaleta nafuu Gani kwa mkulima?

Hilo ndio hitaji la wakulima wa korosho? Itasaidia Nini kwa wakulima au itaongeza tija Gani?

Anachakarika na vitu vya ajabu ajabu wakati kuna mambo chungu nzima ya kimkakati hayajafanyiwa kazi, kwakweli nimechoka na porojo nyingi za hussein.
Juzi nikiona Clip yake anaimba ....Achani enjoy ,maisha yenyewe mafupi,Heri ni.......!
 
Back
Top Bottom